- Thread starter
- #41
Sawa lakini kuna waliojaribu kumfuga pundamilia akatoroka kwa kuvunja banda na kumjeruhi mfugaji piaNature inasema kuna wanyama wafugwao na waporin, kumtoa porin na mkufuga kumtoa kwny system yake ya maisha aliyoumbiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lakini kuna waliojaribu kumfuga pundamilia akatoroka kwa kuvunja banda na kumjeruhi mfugaji piaNature inasema kuna wanyama wafugwao na waporin, kumtoa porin na mkufuga kumtoa kwny system yake ya maisha aliyoumbiwa
Read between the lineKwan unaruhusiwa kumchukua kukaa nae kwako?una eneo kubwa?
Raha ya pundamilia umuone na kumuacha uko uko aside nyumba maana punda ni mkorofi atampiga matekeKwan unaruhusiwa kumchukua kukaa nae kwako?una eneo kubwa?
🤣🤣🤣🤣wanatabia moja ukiwakaribisha nyumbani wanavunja banda na kuaribi malengo ya mfugajipundamilia ni wakali sana na wala hawaongozeki. Wanapiga mabuti na kung'ata balaa
Changing chochote hata nuktq tuSina cha kuongeza kwasababu wote waliotangulia wameshakujibu vyema.
🤣🤣🤣🤣Wote ni punda na wana uhusiano ki asilia ila mmoja ni bora zaidi akiwa nyumbani na huyu mwingine licha ya uzuri na mvuto wake yatupasa tu abaki porini aendelee kuliwa na simba, fisi mamba nk
Lakini mwisho wa siku hajui nn afanye huyu pundamiliaIna fikirisha k ukweli au uzuri wake binadamu wanamuonea huruma kumpa kazi ngumu kama punda kihongo 😃😃😃 nasubiria majibu ya kitaalamu.
Ka TOHOA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale ni wazuri pia niwakorofi na binadamu hawezi kum control hivyo sio rafiki kwa matumizi ya nyumbanipundamilia ni wakali sana na wala hawaongozeki. Wanapiga mabuti na kung'ata balaa
But whyyy 🤣🤣🤣🤣🤣Cc maslay Queen na single mazaz wote,wasimbe wote na wale mabinti above 25 ambao hamjaolewa
Mbna ulianza vizuri mwishoni umetoka nje ya madaVijana wa sasa wanapotea kwa kufuga punda milia na kuwaacha punda wa dobi wakirandaranda kwa kigezo cha tako.