Sababu zipi wanyama hawa wasifugike licha ya uzuri wao?

Sababu zipi wanyama hawa wasifugike licha ya uzuri wao?

Punda hafugwi kwa sababu ya uzuri au ubaya wake, punda hufugwa kwa ajili ya kusaidia kazi ngumu...

Sasa uanze fuga punda milia kisa uzuri wake, na hakuna kitu anakusaidia?

Wanyama wote wafugwao majumbani huwa na faida za kichakula, kibiashara au kikazi...
Mkuu siyo kweli kusema kwamba wanyama wote wanaofugwa home Wana faida na kumfanya pundamilia Hana faida yoyote.

Manunu,mbwa wa wema sepetu ana faida gani? Mbwa anaenda Hadi disco na Coco Beach kula mihogo?
 
Mkuu siyo kweli kusema kwamba wanyama wote wanaofugwa home Wana faida na kumfanya pundamilia Hana faida yoyote.

Manunu,mbwa wa wema sepetu ana faida gani? Mbwa anaenda Hadi disco na Coco Beach kula mihogo?
Ana mpa kampan na kuna Muda anacheza nae
 
Ninachojua huu uzi hausiani na wanyama kabisaa😂
Mbugani ni kuzuri .....sana pundamilia wanavutia lakini swali langu kwanini punda ndie hufugwa? Tunamfuga punda lakini tunaenda kutoa pesa kumuona pundamilia
 
255757500948_status_910394c9ab7546eca20cb251d4628dd1.jpg
 
Wewe jamaa ushindwi kusema Samaki tuwahamishie nnchi kavu ili watu wasiangaike kwenda Baharini kuwa wavua
Hapa point ni comparison pundamilia ni mrembo ila hafugwi ....but punda sio mzuri kwanini anafungwa lakini watu wanamuacha punda kwenda kumuona pundamilia
 
Mbugani ni kuzuri .....sana pundamilia wanavutia lakini swali langu kwanini punda ndie hufugwa? Tunamfuga punda lakini tunaenda kutoa pesa kumuona pundami
Sasa hiyo ndiyo faida ya kumfanya pundamilia asifugike? Kwani na yeye hawezi kutoa kampani?
Basi fuga pundamilia alaf uje uende nae club kama manunu
 
Hapa point ni comparison pundamilia ni mrembo ila hafugwi ....but punda sio mzuri kwanini anafungwa lakini watu wanamuacha punda kwenda kumuona pundamilia
Jibu ni nature, sizaan kama hapo utanielewa
 
Alafu nasikia eti mbususu ya punda milia inafanana kabisa na ya binadamu. Na Ukiwa na roho ndogo ukawa mwenye uchu 😋 unaweza kubaka huyu mnyama. Ni kweli au stori tu wajuzi?
Hapana sio kweli tafiti zangu pundamilia ni mrembo kwa nje ila ndani sio wazuri sana hiii ndio inamfanya punda amzidi kete pundamilia
 
Hapa point ni comparison pundamilia ni mrembo ila hafugwi ....but punda sio mzuri kwanini anafungwa lakini watu wanamuacha punda kwenda kumuona pundamilia
Nature inasema kuna wanyama wafugwao na waporin, kumtoa porin na mkufuga kumtoa kwny system yake ya maisha aliyoumbiwa
 
Back
Top Bottom