- Thread starter
- #61
Ushawai kwenda mbugani kuwaona pundamilia?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeeleweka mkuu umemaanisha nini
Enviado de mi SM-A515F usando Aplicación móvil de JamiForums
Au na ww ni mtumishi wa maliasili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawai kwenda mbugani kuwaona pundamilia?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeeleweka mkuu umemaanisha nini
Enviado de mi SM-A515F usando Aplicación móvil de JamiForums
🤣🤣🤣nyama ya punda au pundamilia?Hata nyama yake sio tamu
🤣🤣🤣punda jau sana hawana mvuto kabisaNilisomaga novel nimesahau jina lake kuhusu mtu alipewa curse akageuzwa punda, kitabu kilikuwa ni adventure yake akiwa punda akimtafuta wa kumrudisha kuwa binadamu.
Toka nisome hicho kitabu nawaona punda kama binadamu nawaonaga huku wanabebeshwa madumu ya maji wanachapwa fimbo nawaonea huruma kweli
😁😁sasa kwanini kutokana na mapungufu yote bado watu wanaenda kumuangalia poriniKwa kutazama kiporini ipo hivi.
Huyo Pundamilia ni mnyama ambaye katika psyche yake hana mpangilio wa kiutawala, hii namaanisha pundamilia hana kiongozi anayemheshimi, au tunaweza sema hajui juu ya kitu tunasema familia, tofauti na punda ambaye punda mdogo anajua yupi ni mama yake na yupi ni baba yake, hivyo ana mipaka.
Hata hivyo huyo Pundamilia ukiachana kuwa na mahipsi mapana ni mnyama korofi kweli kweli hupiga mateke, hungata pale tu unapotaka kuwa kiongozi wake.
Hips😁😁sasa kwanini kutokana na mapungufu yote bado watu wanaenda kumuangalia porini
hakuelewa hii postKa TOHOA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nimekujibu hapaMbugani ni kuzuri .....sana pundamilia wanavutia lakini swali langu kwanini punda ndie hufugwa? Tunamfuga punda lakini tunaenda kutoa pesa kumuona pundamilia
Kaongezea maneno kiasi bila kusema kainyofoa sehemu. Mjini mipangoHaaaahaa hii niliona sehemu jamaa kapost, huyu mkuu kaiboresha kidogo.
Sawaaaaaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii mada haiusiani na chochote zaidi ya punda
Manunu,mbwa wa wema sepetu ana faida gani? Mbwa anaenda Hadi disco na Coco Beach kula mihogo?
Manunu,mbwa wa wema sepetu ana faida gani? Mbwa anaenda Hadi disco na Coco Beach kula mihogo?
[emoji1787][emoji1787]Mbna ulianza vizuri mwishoni umetoka nje ya mada
🤣🤣Kwendraa
HaaaaaNi wanyama wakali wasiopenda kuthibitiwa...