Hahahaaa, huu uzi unajibu kwa nn dem mzuri kupitiliza hafugikiCc maslay Queen na single mazaz wote,wasimbe wote na wale mabinti above 25 ambao hamjaolewa
Nimejikuta nacheka tu, hata sijui nacheka nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pichan ni Donkey VSZebra (PUNDA)
1.Donkey amekosa uzuri (mvuto)ambao Zebra kabarikiwa
2.Licha ya kukosa uzuri lakin ndiye miongoni mwa wanyama wanofugwa/wanaoishi na watu at homes
3.Zebra na uzuri (mvuto) wake wote alionao lakini anaishi porini haishi nyumbani na watu kama donkey
4.Watu wanaingia Gharama wanatoka nyumbani wanaenda porini/mbugani kumuangalia tu Zebra na kumuacha huko huko mbugani
5. Hvi kwanini watu wasimchukue Zebra wakaishi nae nyumbani kupunguza gharama za kwenda kumuangalia mbugani?
N:B uzi huu hauna maana nyingine zaidi ya Donkey na zebra
Aisee, hii comparison 🤣🤣🤣Cc maslay Queen na single mazaz wote,wasimbe wote na wale mabinti above 25 ambao hamjaolewa
Na pundamilia hawezi kazi ngumu , uzi ufungwePunda hafugwi kwa sababu ya uzuri au ubaya wake, punda hufugwa kwa ajili ya kusaidia kazi ngumu...
🤣🤣🤣🤣hii mada haiusiani na chochote zaidi ya pundaNimejikuta nacheka tu, hata sijui nacheka nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini pundamilia licha ya kuwa haranguing ila tafiti zinaonyesha kadri muda uendavyo huwa anakosa furaha maana anakosa ulinzi akiwa mbuganiPunda hafugwi kwa sababu ya uzuri au ubaya wake, punda hufugwa kwa ajili ya kusaidia kazi ngumu...
Sasa uanze fuga punda milia kisa uzuri wake, na hakuna kitu anakusaidia?
Wanyama wote wafugwao majumbani huwa na faida za kichakula, kibiashara au kikazi...
Haaaahaa hii niliona sehemu jamaa kapost, huyu mkuu kaiboresha kidogo.acknowledge source. umekopi sehemu
Nn tena aseeduh aiseee
Kenge hajatajwa humu ni mjadala wa punda na pundamiliaAisee nitafuga kenge mda si mrefu.
pundamilia licha ya kuwa haranguing
Unauhakika aliyeandika huku ni tofauti na wa kule au... ndio swaumu imeanza mapemaacknowledge source. umekopi sehemu
Bado haujajibu swali kwa kuwa anaweza kazi ngumu tuu ndio maana anafugwa?ni rafiki wa binadamu na aweza kusaidia hizo kazi ngumu wapo wanyama wangapi wanaweza kufanya kazi ngumu ila sio rafiki wa binadamu ndio maana wanabaki huko huko...ingawaje huyu Mzala atakua kwenye ishu ya pisi kali na hizi zetu...Punda hafugwi kwa sababu ya uzuri au ubaya wake, punda hufugwa kwa ajili ya kusaidia kazi ngumu...
Sasa uanze fuga punda milia kisa uzuri wake, na hakuna kitu anakusaidia?
Wanyama wote wafugwao majumbani huwa na faida za kichakula, kibiashara au kikazi...
Sijaelewa kwanini umeweka 1,2,3 ?Pichan ni Donkey VSZebra (PUNDA)
1. Donkey amekosa uzuri (mvuto)ambao Zebra kabarikiwa
2. Licha ya kukosa uzuri lakin ndiye miongoni mwa wanyama wanofugwa/wanaoishi na watu at homes
3. Zebra na uzuri (mvuto) wake wote alionao lakini anaishi porini haishi nyumbani na watu kama donkey
4. Watu wanaingia Gharama wanatoka nyumbani wanaenda porini/mbugani kumuangalia tu Zebra na kumuacha huko huko mbugani
5. Hvi kwanini watu wasimchukue Zebra wakaishi nae nyumbani kupunguza gharama za kwenda kumuangalia mbugani?
N:B uzi huu hauna maana nyingine zaidi ya Donkey na zebra