Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Tanzania ina ardhi kubwa sana hata matajiri wangechukua isingeisha na mpaka leo naandika hapa kila siku serikali yako inaomba watu hasa vijana kuwekeza kwenye ardhiMtu mjinga huwezi mpa uhuru wa kujiamulia kabla hajastaarabika.
Angekosea tuu hapo ,Ardhi ya Nchi hii ingekuwa ya wachache sana
Na kama swala lingekuwa ardhi si angebadilisha sheria ya ardhi peke yake kama mchangiaji mmoja alivosema. Yani ni sawa na kusema boxer imechanika unavua na susruali na shati vyote unabadili