Sababu zipi zilimfanya Mwl.Nyerere kuiingiza nchi katika ujamaa na chama kimoja?

Sababu zipi zilimfanya Mwl.Nyerere kuiingiza nchi katika ujamaa na chama kimoja?

Wakati tunapata uhuru nchi yetu ilikuwa nchi ya vyama vingi na uchumi wa soko huria kabla Nyerere hajabadilisha mfumo ni kutupeleka kwenye chama kimoja na ujamaa mwaka 1965 na 1967.

Ni hoja zipi Mwl Nyerere alizitumia alipofanya hayo mabadiliko makubwa hivyo ambayo yalitegemewa kuwa na hatimaye yamekuwa na matokeo mengi mchanganyiko kwa taifa hili?
Alikua na roho ya usawa tangu tabora school,alikuta viranja wanakunywa chai ya maziwa wakati wengine wanakunywa ya rangi,alipokua kiranja mkuu akaamuru aidha wanafunzi wote wanywe maziwa au rangi,alipokutana na wachina ndo akaupenda ujamaa,Ila pia mfumo wa ujamaa humfanya kiongozi kuwa Mungu mtu na kutukuzwa sana
 
Ailikuwa hawezi kuvumilia opposition parties,akijua ipo siku wanaweza kuchukuwa dola,hasa baadhi ya vyama pinzani vilianza kukua kama chama cha Congress, kikiongozwa na Mutemvu.
Baadhi ya wanachama wa TANU walihama TANU na kwenda Congress.

Pili Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 1964,uliingiza siasa za nchi za kijamaa kutokea serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikiongozwa na Afro Shiraz Party.
 
Wakina Nyerere wamekua maisha yao yote wakipambana dhidi ya unyonyaji wa wakoloni.
Ipo wazi kwamba mwalimu alikuwa na uelewa mpana wa mifumo mbalimbali ya kiutawala na uliokuwa unafit zaidi kwa mazingira ya wakati huo ni ujamaa.
 
Wakati tunapata uhuru nchi yetu ilikuwa nchi ya vyama vingi na uchumi wa soko huria kabla Nyerere hajabadilisha mfumo ni kutupeleka kwenye chama kimoja na ujamaa mwaka 1965 na 1967.

Ni hoja zipi Mwl Nyerere alizitumia alipofanya hayo mabadiliko makubwa hivyo ambayo yalitegemewa kuwa na hatimaye yamekuwa na matokeo mengi mchanganyiko kwa taifa hili?
Aaaa
 
Wakati tunapata uhuru nchi yetu ilikuwa nchi ya vyama vingi na uchumi wa soko huria kabla Nyerere hajabadilisha mfumo ni kutupeleka kwenye chama kimoja na ujamaa mwaka 1965 na 1967.

Ni hoja zipi Mwl Nyerere alizitumia alipofanya hayo mabadiliko makubwa hivyo ambayo yalitegemewa kuwa na hatimaye yamekuwa na matokeo mengi mchanganyiko kwa taifa hili?
Sababu ni moja tu, UDIKTETA na Nyerere was a dictator, period!
 
Wakati tunapata uhuru nchi yetu ilikuwa nchi ya vyama vingi na uchumi wa soko huria kabla Nyerere hajabadilisha mfumo ni kutupeleka kwenye chama kimoja na ujamaa mwaka 1965 na 1967.

Ni hoja zipi Mwl Nyerere alizitumia alipofanya hayo mabadiliko makubwa hivyo ambayo yalitegemewa kuwa na hatimaye yamekuwa na matokeo mengi mchanganyiko kwa taifa hili?
Kamwulize
 
Alikua na roho ya usawa tangu tabora school,alikuta viranja wanakunywa chai ya maziwa wakati wengine wanakunywa ya rangi,alipokua kiranja mkuu akaamuru aidha wanafunzi wote wanywe maziwa au rangi,alipokutana na wachina ndo akaupenda ujamaa,Ila pia mfumo wa ujamaa humfanya kiongozi kuwa Mungu mtu na kutukuzwa sana
Juche Ideology in North Korea
 
Wakati tunapata uhuru nchi yetu ilikuwa nchi ya vyama vingi na uchumi wa soko huria kabla Nyerere hajabadilisha mfumo ni kutupeleka kwenye chama kimoja na ujamaa mwaka 1965 na 1967.

Ni hoja zipi Mwl Nyerere alizitumia alipofanya hayo mabadiliko makubwa hivyo ambayo yalitegemewa kuwa na hatimaye yamekuwa na matokeo mengi mchanganyiko kwa taifa hili?

Mambo ni mengi kuyaelezea kwa kifupi hakutayatendea haki.

Tafuta kitabu cha Profesa Paul Bjerk.

"Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania 1960-1964"

Nime attach PDF hapo chini.

Author(s): Paul Bjerk

Series: Rochester Studies in African History and the Diaspora

Publisher: University of Rochester Press, Year: 2015

ISBN: 1580465056,9781580465052

Search in WorldCat | Search in Goodreads | Search in AbeBooks | Search in Amazon.com

Description:
In the early 1960s, nationalist politicians established in Tanzania a stable government in the face of external threats and internal turmoil. Paul Bjerk's volume chronicles this history and examines the politics and policies of the nation's first president, Julius Nyerere. One of the great leaders of modern Africa, Nyerere unified the diverse people who became citizens of the new nation and negotiated the tumultuous politics of the Cold War. In an era whenmany postcolonial countries succumbed to corrupt dictatorship or civil war, Nyerere sought principled government. Making difficult choices between democratic and autocratic rule, Nyerere creatively managed the destabilizing forces of decolonization. With extensive archival research and interviews with scores of participants in this history, Bjerk reorients our understanding of the formative years of Tanzanian independence. This study provides a new paradigm for understanding the history of the postcolonial nations that became independent in a global postwar order defined by sovereignty. Paul Bjerk is assistant professor of history at Texas Tech University.
 

Attachments

Kwa kifupi tuu!! Viongozi wote wa kiafrika baada ya kukalia kiti kile hawakutaka challenge yeyote au mawazo mbadala kwa kisingizio cha kujenga nchi changa kumbe walikuwa wanatengeneza himaya ya wao wenyewe. Mfumo huu ulionekana unaweza kuleta nafuu kwa nchi lakini shida ikaja namna ya kuutekeleza ili uzae matunda bora. Kujitoa nako ingehesabika kuwa ni kushindwa na mfumo huo. Kukwama kukaanzia hapo.
 
Wakina Nyerere wamekua maisha yao yote wakipambana dhidi ya unyonyaji wa wakoloni.
Ipo wazi kwamba mwalimu alikuwa na uelewa mpana wa mifumo mbalimbali ya kiutawala na uliokuwa unafit zaidi kwa mazingira ya wakati huo ni ujamaa.
Kuna watu wengi waliofaidika na mfumo aliouweka Nyerere bado wanamsema vibaya Nyerere kwa kutoelewa mambo tu.

Granted, Nyerere kuna mambo alikosea, siko hapa kusema hakuna alichokosea. Wanasema hindshight is 20-20. Ukiyaangalia mambo yaliyopita unaona vizuri sana. Lakini, kuna mambo fulani aliona mbali sana.

Juzi nilikuwa naangalia documentary moja inaitwa "The Grab", inaongelea jinsi mataifa na makampuni makubwa yanavyokwenda kuchukua ardhi na natural resources kwenye mataifa madogo, mambo ya landgrabbing na water wars.

Kuna sehemu walionesha wananchi wa Zambia wametolewa katika ardhi yao, wamenyang'anywa na "wawekezaji". Wameishia kuishi chini ya miti na kwenye mahema. Mwanamke mmoja anasema jambo hilo lilipelekea mume wake na mtoto wake mchanga kufariki.

Ikawa bahati kuna Mzambia mmoja mwanasheria alisoma sheria Georgetown University, chuo maarufu cha US (aliposoma Mo Dewji, ambapo watu maarufu wenye connnections duniani wanasoma) aliichukua kesi yao na kuipigania mpaka wakashinda kupata ardhi yao tena.

Katika Tanzania ya Nyerere, na kwa kiasi fulani mpaka sasa, sheria za ardhi ambazo zimefanya serikali kuwa mmiliki wa ardhi na wengine wote kuwa wapangaji tu, zimezuia sana land grabbing hii. Nyerere alifanikiwa kuweka misingi ya kulinda maliasiki za Watanzania zisichukuliwe na watu wa nje. Kwa kiasi fulani hii ilichelewesha maendeleo. Nakumbuka miaka ya mwisho ya 1980s na ya mwanzo ya 1990s tulikuwa tunalaumu kwa nini Nyerere hakutaka kuchimba madini yetu tutumie fedha hizo kuendeleza uchumi? Tulivyokuja kujua matatizo ya madini, kuanzia pollution mpaka serikali kuchujua asilimia ndogo sanabya mapato, tulikuja kumuelewa Nyerere vizuri.

Sisemi kwamba Nyerere hakukosea, ila watu wengi wanaomlaumu sana inaonekana hata hawaelewi dynamics za kisiasa na kiuchumi zilizokuwapo enzi za uongozi wake.

Link ya "The Grab" iko hapa chini.


View: https://youtu.be/dws3Rfn_ePo?si=l7NO2DJvqyK96Z0A
 
Kuna watu wengi waliofaidika na mfumo aliouweka Nyerere bado wanamsema vibaya Nyerere kwa kutoelewa mambo tu.

Granted, Nyerere kuna mambo alikosea, siko hapa kusema hakuna alichokosea. Wanasema hindshight is 20-20. Ukiyaangalia mambo yaliyopita unaona vizuri sana. Lakini, kuna mambo fulani aliona mbali sana.

Juzi nilikuwa naangalia documentary moja inaitwa "The Grab", inaongelea jinsi mataifa na makampuni makubwa yanavyokwenda kuchukua ardhi na natural resources kwenye mataifa madogo, mambo ya landgrabbing na water wars.

Kuna sehemu walionesha wananchi wa Zambia wametolewa katika ardhi yao, wamenyang'anywa na "wawekezaji". Wameishia kuishi chini ya miti na kwenye mahema. Mwanamke mmoja anasema jambo hilo lilipelekea mume wake na mtoto wake mchanga kufariki.

Ikawa bahati kuna Mzambia mmoja mwanasheria alisoma sheria Georgetown University, chuo maarufu cha US (aliposoma Mo Dewji, ambapo watu maarufu wenye connnections duniani wanasoma) aliichukua kesi yao na kuipigania mpaka wakashinda kupata ardhi yao tena.

Katika Tanzania ya Nyerere, na kwa kiasi fulani mpaka sasa, sheria za ardhi ambazo zimefanya serikali kuwa mmiliki wa ardhi na wengine wote kuwa wapangaji tu, zimezuia sana land grabbing hii. Nyerere alifanikiwa kuweka misingi ya kulinda maliasiki za Watanzania zisichukuliwe na watu wa nje. Kwa kiasi fulani hii ilichelewesha maendeleo. Nakumbuka miaka ya mwisho ya 1980s na ya mwanzo ya 1990s tulikuwa tunalaumu kwa nini Nyerere hakutaka kuchimba madini yetu tutumie fedha hizo kuendeleza uchumi? Tulivyokuja kujua matatizo ya madini, kuanzia pollution mpaka serikali kuchujua asilimia ndogo sanabya mapato, tulikuja kumuelewa Nyerere vizuri.

Sisemi kwamba Nyerere hakukosea, ila watu wengi wanaomlaumu sana inaonekana hata hawaelewi dynamics za kisiasa na kiuchumi zilizokuwapo enzi za uongozi wake.

Link ya "The Grab" iko hapa chini.


View: https://youtu.be/dws3Rfn_ePo?si=l7NO2DJvqyK96Z0A

Mkuu katika mfumo wowote ule wa utawala lazima kuna watu watanafuaika tu na huo mfumo,
Sina uhakika kama haya masuala ya ardhi yalikuwa sababu alizozitoa Nyerere katika kuwapeleka watu kwenye ujamaa, lakini pia sheria ya ardhi ya Tanzania haijuzuia matatizo na madhila huko Ngorongoro na Loliondo kwa Wamasai na sehemu nyingine nyingi tu za utalii.
Lakini pia Tanzania inaweza kuwa ni mojawapo ya mataifa yenye kesi na migogoro mingi sana ya ardhi.
 
Back
Top Bottom