Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very Correct.Ujamaa wa Nyerere ni socialism derived from African communalism.
Mwenyewe alifafanua vizuri tofauti ya Communism na African Socialism.
Tena alisema wazi ujamaa (socialism) ulikuwepo kabla ya kuja wakoloni hapa Africa, na ulikuwa tofauti na Communism in some aspects.
Ndugu yangu umemaliza kabisa! Mengine ni kuataka tu kumdharirisha Mwalimu.Sio Tanganyika tu baada ya kupata uhuru (late 1950s - 1970s) nchi nyingi za Afrika ziliadopt African socialism ideology but in different models
Hizi ni sababu kadhaa ziliwafanya waadopt socialism iliyopelekea mfumo wa chama kimoja:
●Waliamini wakiwa chini ya mfumo wa chama kimoja watakuwa na umoja na mshikamano kwa sababu taifa zima lingekuwa chini ya single ideology. Msemo kama Zidumu fikira za Mwalimu ulitumika sana
●Kuepusha upinzani kutoka vyama vingine vya kisiasa. Hapa waliamini kukiwa na upinzani maendeleo ya taifa yatakuwa hatarini na kucheleweshwa kwa sababu ya mitazamo tofauti
●Kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe. Waliamini kuwa uwepo wa vyama vingi ingepelekea kila chama kupambana kiingie madarakani mwisho wa siku vita vya wenyewe kwa wenyewe
●Kuzuia ushawishi wa nchi za kibepari kwenye siasa za ndani. Walisema kwa kuwa multi party asili yake ni kutoka mataifa ya kibepari hivyo wanaweza kuweka vibaraka wao
●Uungwaji mkono kutoka nchi za ki-socialist kama USSR na China.
●Waliamini kuwa mfumo wa kibepari ni wa kinyonyaji
Ila mwishoni yakawashinda
Ni mpotoshaji na dini imemfanya awe kama mwendawazimu kabisa.Mtu mwenyewe anaandika na kujadili historia kwa msingi wa dini yake.. Yuko compromised sana.
Alipenda sifa binafsi ndiyo maana akavuruga uandishi wa vitabu vya historia sahihi ya wapigania uhuru wa Tanganyika. Pia alivuruga uendeshaji wa vyama vya ushirika na mamlaka ya serikali za mitaa na kufuta vyama vya ushirika na mamlaka ya serikali za mitaa kwa maslahi yake binafsi.Hakuwa na hoja ya msingi. Alidai anataka kuondoa tabaka la walionacho na wasio nacho,, Nyerere kwa kweli sio mfano wa kuigwa na nchi mpaka leo haiendelei sababu ya kuiga fikra zake zote, hata mambo ya kutekana yalianza huko
Hivo basi, hakuwa na hoja ya msingi. Yeye alidhani kwa kuadopt ujamaa basi masikini hawatokuepo na aliamini ujamaa ndio msingi mzuri wa kuwabana matajiri wasiwanyonye masikini
Lakini kama ambavyo ukienda Hotelini ukaagiza kuku basi inakuja na chips. Nyerere naye alikuwa na agenda yake ya kujihakikishia absolute power kwa kupitia ujamaa. He never liked to be challenged not even by his comrades within CCM
☝🏿 Hayo juu hayana ukweli wowote ule. Msome Vernon McKay. Mmarekani alie andika kwa mapana kuhusu historia ya Afrika na hususani, kwanini Waafrika walikataa Ukomunisti.timing, wakati ule wote walikuwa communist I mean, waafrika na black people, communism ilijifanya kama ni mtetea wanyonge dhidi ya ukoloni kwa hivyo waliotawaliwa wote walikuwa attracted na communism,
☝🏿Hiyo nayo sio kweli. Ni kinyume chake. Nchi za Africa, Asia, Carribean ama South Amerika waliunda kile kinachoitwa Non Aligned Movements. In essence by joining N.A.M Tanzania and many countries emphasized 'Independence and refusal to align with either Capitalist West and Communist East.'nchi karibia zote za Afrika, carribean mpaka India na North Afrika walijiunga communism hivyo siyo Nyerere tu,
☝🏿Hayo ni matango pori. Na ni propaganda za Wamarekani tu.uislamu wote au niseme nchi za kiislamu kuanzia irak, iran, syria mpaka palestina walifwata communism
😲😮😌ndiyo maana kulikuwa na wimbi la black amerika converting to islam, kwa kifupi communism
Waafrika tulikuwa tukijitawala. Wazungu ndio walioharibu mifumo yetu. Niulize. Unarokota wapi hayo uliyoyaandika?iliwadanganya watu kwamba ni njia ya haki ya kujitawala.
😮😅communism looks very good in paper lkn wengi hawajui kwamba communism ni satanic na wanaofund communism ndio hao hao wanaofund capitalism …
Hadi leo sielewi kwann alituunganisha na zanzibarNyerere hakutaka ushauri na zile safari zake za awali kwenda china na nchi za communist ndio zilimpa nguvu kujiona yupo sahihi.
Miongoni mwa mambo mengi Nyerere alificha moja wapo ni kuunganisha zenji na Tanganyika , yeye alisema ni ishu ya kiusalama ila hoja hii ni dhaifu sana . jamaa kwa kweli alificha mengi mpaka akaona nchi inaenda kushoto akang'atuka .
Hii ni moja kati ya comment za kipumbavu sana hapa JFyanyerere yanakuhusu nini? wakati hata ulikuwa haujazaliwa
Kama nilivyoandika juu huko, Nyerere alikuwa hajuwi alifanyalo, "socialism" ya Tanzania wakati wa Nyerere ni zao la Joan Wickens, Muingereza aliyekuwepo Ikulu kwa shinikizo la Uingereza, kuanzi kabla ya Uhuru mpaka kifo cha Nyerere.Wakati tunapata uhuru nchi yetu ilikuwa nchi ya vyama vingi na uchumi wa soko huria kabla Nyerere hajabadilisha mfumo ni kutupeleka kwenye chama kimoja na ujamaa mwaka 1965 na 1967.
Ni hoja zipi Mwl Nyerere alizitumia alipofanya hayo mabadiliko makubwa hivyo ambayo yalitegemewa kuwa na hatimaye yamekuwa na matokeo mengi mchanganyiko kwa taifa hili?