Hilo bomu lilitua pale kichwani?Wachaga wanavyojua madawa ya kishirikina, tayari washamtumia bomu, kaanza kuumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo bomu lilitua pale kichwani?Wachaga wanavyojua madawa ya kishirikina, tayari washamtumia bomu, kaanza kuumwa
Duuh ni bandika bandua.Kumbuka Hukumu ya Kesi nyingine ile ni keshokutwa Ijumaa tarehe 10,iwe jua iwe mvua lazima agongwe miaka 30 Jela,wakati huohuo hii Kesi ya Moshi ndio kwanza inatajwa,kazi mnayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio, bomu la kishirikina hiloHilo bomu lilitua pale kichwani?
duuh. Bomu la manundu?Ndio, bomu la kishirikina hilo
Ushahidi gani zaidi ya hao walioporwa kwenye maduka yao kuutoa au ulikua hufuatilii kesi zake za arusha?Mkuu ungewahi mahakamani ukatoe ushahidi wa huo ujambaziwake ingeleta maana badala ya kutomboka humu kama njegima.
Wachaga wanapenda sana kwenda Tanga au sumbawanga, washampiga bomu, watu wabaya sana japo wamejaza makanisa Kila kitongoji Cha Kilimanjaroduuh. Bomu la manundu?
Kumbe na wao wamo eeh?Wachaga wanapenda sana kwenda Tanga au sumbawanga, washampiga bomu, watu wabaya sana japo wamejaza makanisa Kila kitongoji Cha Kilimanjaro
Kweli ni mashitaka yasiyo na mashiko. Kisheria mtoa rushwa na mpokea rushwa, wote ni waharifu. Ukiombwa rushwa, usitoe rushwa bali ripoti kwenye mamlaka ya TAKUKURU ambayo ndiyo itaandaa mkakati wa kumkamata huyo muomba rushwa akiwa anapokea hiyo rushwa.Mashtaka ya kitoto sana.