Tulikuwa tunamsubiria kwa hamu huyu kijana na walah atatujua!Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
KibogaAshaliwa kitambo 2022 mwezi wa nne kwani hujui
Yupo Kisongo au Karanga?Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Toka siku ya kwanza ! Alitakiwa kuwa Low na Mkimya. Akutakiwa taja sijui waziri sijui Serikali. Alitakiwa kuwa kimya na kujibebesha yote yeye kama yeye!! Zamani sisi tukiwa watoto iwapo ukiwa kitaa wazee wanacheza BAO! Iwapo mzee mmoja akatoa hewa kwa Sauti! Madogo mmoja wenu anajibebesha Mabomu! Anajibidhi Ahibu ya Muhusika🙏🏽. Atasimangwa ata chekwa! Lakini Mwisho wa siku wakubwa na Muhusika .Wote japo wanajua UKWELI ! Dogo atapewa Msala yeye! Mwishoe Dogo atatafutwa na Muhusika atapewa Jogoho na Kizawadi cha kumsitiri live eneo la tukio😁! Sabaya akuwa hivyo. POLE YAKE MAANA ATA LEMA WA CHADEMA WAS THERE NA WALICHOKUWA WANAMFANYIA AJAWAI SEMA AND IS COMING BACK! Sabaya tupate Nandi anasemaje juu yake.no fear no mercyKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Hakuna mwenye ujanja wa kumgusa huko nje kwenu. Huko nje yote ni majibwa koko tu.Mi namshauri avumilie tu hicho kipigo,maana huku nje wanamtafuta kumtoa roho kabisa,ndio malipo yake hayo.
Maandalizi ya kumtoa yanaanza. Sasa hivi tutasikia yupo kifungo cha nje.
yule atobolewe hata macho ni sawa tu, amefanyia watu unyama sana huko arusha na moshiKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Hakuna mwenye ujanja wa kumgusu huko nje kwenu. Huko nje yote ni majubwa koko tu. Wameshindwa kumgusa Makonda ndiyo wamguse Sabaya??
Makonda akiinekana mitaa Mwenge, Kariakoo, Manzese, Sinza, Posta wanaume wa Dar wanamkimbilia kupiga naye selfie na kujipiga selfi ili atokee kwenye picha zao.
Hakuna mwenye ujanja wa kumgusu huko nje kwenu. Huko nje yote ni majubwa koko tu. Wameshindwa kumgusa Makonda ndiyo wamguse Sabaya??
Makonda akiinekana mitaa Mwenge, Kariakoo, Manzese, Sinza, Posta wanaume wa Dar wanamkimbilia kupiga naye selfie na kujipiga selfi ili atokee kwenye picha zao.
Ni kwa sababu Sabaya anaelekea kutoka Magereza na kuwa Huru!
Hivyo watesi wake wanaona njia pekee ya kumkomoa ni kumtia kilema!
Kwa sababu wameshindwa kumkomoa kwa njia waliyokusudia!
Sabaya is a free Man Soon!
Ni kwa sababu Sabaya anaelekea kutoka Magereza na kuwa Huru!
Hivyo watesi wake wanaona njia pekee ya kumkomoa ni kumtia kilema!
Kwa sababu wameshindwa kumkomoa kwa njia waliyokusudia!
Sabaya is a free Man Soon!
Umenikumbusha huyo waziri wa mashauri ya ndani wa Kenya mmasai alitwa Ole Tiptip.umenikumbusha waziri wa kenya sijui ni wizara gani alisema wafungwa hawatakiwi kunywa uji wa sukari wala kulala na godoro wateseke.sheria ikafatwa ikaja kumuangukia yeye kuwa mfungwa na kuanza kulalamika.
sabaya anakula alichofanya aliowafanyia kakutana nao jera.
jifunzeni jera inamchukua kila mtu.ndio maana hakimu,polisi,wababe uzimia wanapofika jera
Tunajua jinsi Chadema ilivyo na Hasira na Sabaya!
Tunajua Chadema mnamchukia Sabaya,kwa sababu ndie aliemtoa Mbowe na Chadema kwenye ulingo wa Siasa kule Hai.
SABAYA vs CHADEMA=
HUko akienda ni kutembea tu, huyo mpo naye sana bongoMbona kakimbilia Rwanda?
Ha ha ha ha ha, NAKAZIAKumamae..
Huko yoyote Ana kwenda tuSijawahi na ninaomba Mungu aniepushe.