Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
KumekuchaaaaaaaKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Things fall apart, karma is a bitchKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
tuombe wasimkatishe maisha kabla ya nabii lema hajamletea salamuKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
we mtoto wa shule rudi shule walimu wameambiwa wasichape watotoHilo linamsubiri aliyetoka Ubeleji. Stay tuned!
Ametupokonya kama nani?Hapendwi wakati kawapokonya jimbo kwa kura nyingi tu. Sema wewe ndio humpendi.
yote ni njia inatengenezwa na watu kuandaliwa kisaikolojiaNahisi hii ni mind game kwa watawala, kwanza mmeanza anaachiwa tarehe 15, then kapigwa, hizi taarifa mnazipata wapi?
Mbona zinafuatana sana kumuhusu mtu mmoja?
Sasa kama kagoma kutoa wezere ni muhimu kwa askari kuwasaidia manyampara? Na apigwe 2!Kwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
[emoji2936][emoji2935]Mkuu agiza kinywaji utume namba PM hohehahe mimi nikuchezeshee muamala! Nimepiga dili ya kibarua cha ujenzi jana si haba nimepata chochote kitu A.K.A kiinua mgongo kwa sisi walalahoi! [emoji23][emoji1474]
#NOTEAJOKE
Jela jeraha.Jela halifai.
Wangemuua tuuu kumaliza kesiKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Midnight walkers huyoKwa wale ambao hamjawahi kukaa magerezani muelewe kwamba askari magereza huwa wanatandika inmates (pale inapolazimu) zaidi hata ya polisi wanapokuwa kwenye 'brutal interrogations', kwa mtu kama Sabaya ambaye gereza linafahamu kuwa ana lawyers na shauri lake linafuatiliwa na vyombo vya habari hawawezi kumpa kichapo bila ya sababu za msingi. Wanauhakika namna watakavyojieleza pindi shauri litakapofikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
NB: Umafia pia unawezekana, wale aliowatesa wanaweza 'wanawanunua' askari magereza au hata mkuu wa gereza na kuwaagiza kwamba pale atakapokataa kutii amri yoyote(kuna sheria za kudhalilisha sana gerezani inmate anaweza kubong'oleshwa mbele ya umati ili asechiwe mkunduni kwa kuingizwa vidole mind you hiyo ni sheria halali) apewe kichapo cha mbwa koko [emoji1787][emoji1787].
All in all jamaa alitesa, alinyanyasa na alidhulumu watu wengi wasio na hatia yoyote.
wamle tu kama alivyotaka kumla nandyWasimkule tu lakini adhabu nyingine ziendelee tu
[emoji81][emoji81]wamle tu kama alivyotaka kumla nandy
Yanayomkuta Sabaya ni somo tosha kwa viongozi vijana kuvaa kiburi na majivuno badala ya utumishi wenye kutukuka kwa ajili ya watu.Mjinga kabisa, anajifanya kuleta jeuri akidhani bado ana yale madaraka yaliyompa kiburi cha kufanyia watu ukatili.
Wangemuua TU. Manina wakakutane huko kuzimu na yule shetani aliyetanguliaKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.