inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Usalama wa taifa ukizingua wanakutupa aisee,labda utende kwa maelekezo yaoEti alikuwa anajifanya USALAMA WA TAIFA π
Usalama wa taifa aishie kwenye aibu namna hiyo mwisho wa siku π³
πππ... Kuna vitu vinachukuliwaga poa sana! Wangejua yeye ni boss wao wangemshurutisha namna hiyo?! πππππΎ
Jamaa FALA SANA!
#MALIPONIHAPAHAPADUNIANI
Yote haya ni malipo ya kumtegemea mwanadam na kumfanya ndio ngao yake!! Jaman tumtegemee MUNGU sana hata kama tumepewa madaraka ya kuongoza wananchi!!!Kwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya,na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio,na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio......
Kwa lolote litakaloendelea,hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.........
Duuh huo sio ubinadamu. Hata kama alokosea hapaswi kufanyiwa yale yale maana itakuwa hakuna tofauti ya yeye na sisi.Kwangu sidhani Kama nitasikitika hata kidogo sabaya ni nduli naungana na jamaaa aliyesema ahasiwe
Unataka ahasiwe ili asikufanyie ukatili tena?Yaani kama kuna uwezekano ahasiwe kabisa asije akazaa kizazi kichafu kama yeye.
Kwenye hii inji yote yawezekanaAliyefungwa kwa kosa la jinai hana sifa tena ya kuwa kiongozi wa Umma.
Je kushambuliwa ni sehemu ya hukumu?MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI πππ ππΎ
Hilo linamsubiri aliyetoka Ubeleji. Stay tuned!Yaani kama kuna uwezekano ahasiwe kabisa asije akazaa kizazi kichafu kama yeye.
Unachokijua kwenye 10% hata 1.5% haijafika kuhusu hayo mambo... mwingi ni uzushi na hisia zenu/zetu raia wa kawaida ndomana inaitwa "SECRET-SERVICE"Usalama wa taifa ukizingua wanakutupa aisee,labda utende kwa maelekezo yao
Hatujali! SISI TUNAFURAHI HUYO BWANA HATA AKING'OLEWA MENO KWA KIPIGO πππΎJe kushambuliwa ni sehemu ya hukumu?
Tunaposimamia sheria tunamaanisha hata wahalifu wanahitaji kuadabishwa kwa mujibu wa sheria na siyo kwa matakwa binafsi.
Ukiwa na upendeleo kisheria utaumiza wasiokupenda
Anapaswa kuuawa kabisa. Sabaya hana haki ya kuishiKwa taarifa za haraka,inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa,shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza,Kisongo mjini Arusha,anakoshikiliwa kwa sasa.