Sabaya na Makonda hawastahili kushtakiwa

Naomba asikari jera mnaomhudumia sabaya muendelee kumgongesha virungu, na akabidhiwe nyampala limbikiri kabisa.

Makonda akitiwa nguvuni nitajicholesha kwa kosa la uzurulaji ili nile miez 3 nikambikiri bashite matako.
Sawa
 
Saizí tutakuwa tunamalizana nao mtaani huku huku.
 
17march tulipigwa na kitu kizito kichwani tukapoteana.
Nakumbuka siku ile nilikuwa najiandaa kulala. Nilivyosikia mshindo nikatoka nje nikaenda kuhonga mvinyo mpaka kuchele
Hakika ilikuwa furaha sana
 
Nakumbuka siku ile nilikuwa najiandaa kulala. Nilivyosikia mshindo nikatoka nje nikaenda kuhonga mvinyo mpaka kuchele
Hakika ilikuwa furaha sana
Roho mbaya hazijengi
 
Kijana wa watu anataabika huko mpaka anaomba kuchangiwa
 
Umeongea ukweli
 
Reactions: RNA
Mahalu Prof mhuni sana, alimla Grace Martin na Grace akamkimbia Martin hadi kesho, Martin akaibukia upande mwingine kutaka kumfunga Pro Mahalu, mkapa akaibukia upande mwingine akapanda kizimbani kumuokoa Mahalu. Tanzania kuna sinema nyingi sana
 
Mahalu Prof mhuni sana, alimla Grace Martin na Grace akamkimbia Martin hadi kesho, Martin akaibukia upande mwingine kutaka kumfunga Pro Mahalu, mkapa akaibukia upande mwingine akapanda kizimbani kumuokoa Mahalu. Tanzania kuna sinema nyingi sana
Mambo ya kina Mahalu yasiingie humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…