SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hapo kigololi kimeshakushuka basha wako yuko huru.General Sabaya is back
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kigololi kimeshakushuka basha wako yuko huru.General Sabaya is back
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai na kipenzi cha rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli ameshinda rufaa yake ya pili iliyokuwa imefunguliwa na DPP akipinga Sabaya kuachiwa huru kutoka kwenye kifungo cha miaka 30 jela alichotuhumiwa kuvamia na kuibia watu.
Sasa Sabaya yuko huru kugombea na kufanya siasa popote kama akitaka kufanya hivyo kwani mahakama imemsafisha na kumfanya kuwa raia mwema asiye na doa lolote.
Hivyo manabii feki akina Lema na Chadema kwa ujumla watajinyonga kwa wivu kwani walikuwa msitari wa mbele kumsingizia na kumchafua kijana huyu mchapakazi.
![]()
Sabaya ashinda rufaa ya pili
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameshinda rufaa iliyokuwa imefunguliwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi yake na wenzake wawili.www.mwananchi.co.tz
Mahakamani hamna hata mmoja aliyekatwa masikio aliyefikaKwamba hadi wale wananchi waliokatwa masikio na kuingiliwa kinyume kule Hai walikuwa wanamsingizia?
Sawa
Huenda uko sahihi
tuwekee hukumu TANZLII haipoMahakama ya Rufaa Tanzania, imetupa rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu na Daniel Mbura.
Leo Ijumaa Novemba 17, 2023 mahakama hiyo imetupilia mbali rufaa hiyo baada ya kuona umekosekana ushahidi usioacha mashaka wa wajibu rufaa hao kutenda kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha au makundi.
Hukumu hiyo imesomwa leo na Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abeesiza Kalegeya.
Utawala wa kidhalimu na visasi kutoka kwa baadhi ya viongozi wa serikli (Kaisari)na wapinzania uchwara umeaibishwa kupitia haki iliyotolewa na Pilato.Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai na kipenzi cha rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli ameshinda rufaa yake ya pili iliyokuwa imefunguliwa na DPP akipinga Sabaya kuachiwa huru kutoka kwenye kifungo cha miaka 30 jela alichotuhumiwa kuvamia na kuibia watu.
Sasa Sabaya yuko huru kugombea na kufanya siasa popote kama akitaka kufanya hivyo kwani mahakama imemsafisha na kumfanya kuwa raia mwema asiye na doa lolote.
Hivyo manabii feki akina Lema na Chadema kwa ujumla watajinyonga kwa wivu kwani walikuwa msitari wa mbele kumsingizia na kumchafua kijana huyu mchapakazi.
![]()
Sabaya ashinda rufaa ya pili
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameshinda rufaa iliyokuwa imefunguliwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi yake na wenzake wawili.www.mwananchi.co.tz
Punguza hasiraThe expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaepa? chini ya viapo vyao?
Akiiweka ntag na mimituwekee hukumu TANZLII haipo
Kama unavyowapelekeaga kigololi wazungu wa ubelgiji wakitafuneHapo kigololi kimeshakushuka basha wako yuko huru.
The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaepa? chini ya viapo vyao?
Huwezi ukawa judge ubwabwa ukategemea utakuwa vizuri upstairsUkiona wanaopandishwa kuwa Justices of Appeal unaona kabisa kuwa kuna shida sana huko CoA! Ni hao judges kutoka High court ambako ni "mavi" maupu, "mavi" hayo yanapanda kwenda kwenye apex court! Soma hata kiingereza chao, shida tupu! Linganisha hukumu za bold judges kama Mwalusanya na za hawa UPE, utaona clear intellect difference, a very big one
Leo atalala na bi mkubwa wako siyo!General Sabaya is back
Well notedNdio maana tunasema ukifanyiwa ubaya na mtu wewe malizana naye kibingwa kwa vyovyote vile hata kuroga.
Ukisubiri court utashangaa hadi macho yatoboke.
Ccm wameamua kumsameheKwamba hadi wale wananchi waliokatwa masikio na kuingiliwa kinyume kule Hai walikuwa wanamsingizia?
Yule Ustaadh aliyevamiwa dukani kama jambazi, na wale wamiliki wa Hotels na wafanyabiashara je?
Sawa
Ila mahakama hizohizo zikimwachia mbowe zinakuwa siyo za ccm?Jambazi ni Jambazi tu, Mahakama zipi? Za CCM??
Atalala na wewe akikunyoosha hilo kunduLeo atalala na bi mkubwa wako siyo!