Sabaya na wenzake washinda Rufaa dhidi ya Serikali kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Sabaya na wenzake washinda Rufaa dhidi ya Serikali kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai na kipenzi cha rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli ameshinda rufaa yake ya pili iliyokuwa imefunguliwa na DPP akipinga Sabaya kuachiwa huru kutoka kwenye kifungo cha miaka 30 jela alichotuhumiwa kuvamia na kuibia watu.

Sasa Sabaya yuko huru kugombea na kufanya siasa popote kama akitaka kufanya hivyo kwani mahakama imemsafisha na kumfanya kuwa raia mwema asiye na doa lolote.
Hivyo manabii feki akina Lema na Chadema kwa ujumla watajinyonga kwa wivu kwani walikuwa msitari wa mbele kumsingizia na kumchafua kijana huyu mchapakazi.


Vijana wa siku hizi wanapenda watu wajinga jinga kama Sabaya.
 
Mahakama ya Rufaa Tanzania, imetupa rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu na Daniel Mbura.

Leo Ijumaa Novemba 17, 2023 mahakama hiyo imetupilia mbali rufaa hiyo baada ya kuona umekosekana ushahidi usioacha mashaka wa wajibu rufaa hao kutenda kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha au makundi.

Hukumu hiyo imesomwa leo na Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abeesiza Kalegeya.
tuwekee hukumu TANZLII haipo
 
Haya basi alambishwe teuzi mara moja kupooza machungu aliyopitia. MUNGU wa mbinguni ndiye hakimu kwa wote waliofanyiwa dhulma na chama chakavu.
 
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai na kipenzi cha rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli ameshinda rufaa yake ya pili iliyokuwa imefunguliwa na DPP akipinga Sabaya kuachiwa huru kutoka kwenye kifungo cha miaka 30 jela alichotuhumiwa kuvamia na kuibia watu.

Sasa Sabaya yuko huru kugombea na kufanya siasa popote kama akitaka kufanya hivyo kwani mahakama imemsafisha na kumfanya kuwa raia mwema asiye na doa lolote.
Hivyo manabii feki akina Lema na Chadema kwa ujumla watajinyonga kwa wivu kwani walikuwa msitari wa mbele kumsingizia na kumchafua kijana huyu mchapakazi.

Utawala wa kidhalimu na visasi kutoka kwa baadhi ya viongozi wa serikli (Kaisari)na wapinzania uchwara umeaibishwa kupitia haki iliyotolewa na Pilato.

Sabaya ndio kiongozi pekee pamoja na baadhi ya viongizi waliokuwa chini ya JPM watakuja kuwakomboa wananchi kutoka kwa mabwanyenye waliopoka uongozi kwa nia ya kufhulumu, kufanya visasi na kufisidi maliasili za umma.

A big blow to the sadists who are persistently attacking JPM's personality and his past regime; they may eventually gnash and succumb once they realize they are being strategically used by politicians to cushion their evils.
 
The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaepa? chini ya viapo vyao?
Punguza hasira

Kama ulikula demu wa Sabaya ukitegemea atafungwa jiandae kisaikolojia
 
The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaepa? chini ya viapo vyao?


Tulia kwanza.

Vuta pumzi ya kutosha na ujaribu kuushirikisha ubongo wako kwenye matamshi yako.
 
Ukiona wanaopandishwa kuwa Justices of Appeal unaona kabisa kuwa kuna shida sana huko CoA! Ni hao judges kutoka High court ambako ni "mavi" maupu, "mavi" hayo yanapanda kwenda kwenye apex court! Soma hata kiingereza chao, shida tupu! Linganisha hukumu za bold judges kama Mwalusanya na za hawa UPE, utaona clear intellect difference, a very big one
Huwezi ukawa judge ubwabwa ukategemea utakuwa vizuri upstairs
 
Kwamba hadi wale wananchi waliokatwa masikio na kuingiliwa kinyume kule Hai walikuwa wanamsingizia?
Yule Ustaadh aliyevamiwa dukani kama jambazi, na wale wamiliki wa Hotels na wafanyabiashara je?
Sawa
Ccm wameamua kumsamehe
 
Back
Top Bottom