Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Yes, kwani wakiamua kuna wa kupinga?Ccm wameamua kumsamehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, kwani wakiamua kuna wa kupinga?Ccm wameamua kumsamehe
Ukiona wanaopandishwa kuwa Justices of Appeal unaona kabisa kuwa kuna shida sana huko CoA! Ni hao judges kutoka High court ambako ni "mavi" maupu, "mavi" hayo yanapanda kwenda kwenye apex court! Soma hata kiingereza chao, shida tupu! Linganisha hukumu za bold judges kama Mwalusanya na za hawa UPE, utaona clear intellect difference, a very big one
Kangaroo courts hizi.Hazina jipya.Hakika MAMA anaupiga mwingi hadi anapiga mtu GWALA 5.Mahakama ya Rufaa Tanzania, imetupa rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu na Daniel Mbura.
Leo Ijumaa Novemba 17, 2023 mahakama hiyo imetupilia mbali rufaa hiyo baada ya kuona umekosekana ushahidi usioacha mashaka wa wajibu rufaa hao kutenda kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha au makundi.
Hukumu hiyo imesomwa leo na Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abeesiza Kalegeya.
Mbowe hakua na kesi wewe mjingaIla mahakama hizohizo zikimwachia mbowe zinakuwa siyo za ccm?
🤣🤣🤣Mako mwenezi sabaya kashinda rufaa. The team is back!! What we gona do mamen is back around !?
Kwa nini mnakwenda mahakamani na Matokeo mkononi??Kama Mahakama hazitoi HAKI tena basi msiwalaumu Watanzania watakapojichukulia Sheria mikononi.
Wewe mamlaka ya kuhukumu umetoa wapi?Kwamba hadi wale wananchi waliokatwa masikio na kuingiliwa kinyume kule Hai walikuwa wanamsingizia?
Yule Ustaadh aliyevamiwa dukani kama jambazi, na wale wamiliki wa Hotels na wafanyabiashara je?
Sawa
Safi kabisa. Asante Mungu kwa hili. Mungu ni mwema. Hukumu imejieleza.Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.
Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.
Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.
Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.
Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.
Tulijua ni njia za kumsafisha.The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaepa? chini ya viapo vyao?
Kwahiyo unamAana gani..Safi sana Rais Samia , nyumbu wote watakuelewa sasa kwamba wewe na Magufuli ni kitu kimoja
Nyumbu ni watu wasiojielewa mfano chademaKwahiyo unamAana gani..
Yani Nyumbu ni Nini!??