Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 913
- 844
CHAWA NAMBA MOJA! POLE SANA!Una Wakati mgumu sana wewe kilaza wa mbowe
Yajayo yatakufanya uitafute milembe mwenyew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHAWA NAMBA MOJA! POLE SANA!Una Wakati mgumu sana wewe kilaza wa mbowe
Yajayo yatakufanya uitafute milembe mwenyew
Nimeibiwa kiazi wewe bwegeUmeibiwa Nini we kiazi?
Mimi ni kilaza wa mama yako. muulizeUna Wakati mgumu sana wewe kilaza wa mbowe
Yajayo yatakufanya uitafute milembe mwenyew
exactly!Sio Mahakama za kishenzi, ni waendesha mashtaka wabovu. Kanuni ya mahakama, hata kama Baba Yako ameshitakiana na shetani, shetani aka argue vizuri Kesi yake, basi shetani atapewa Haki.
(Sasa, jambazi linakuwa huru, na huenda likapewa tena nafasi Fulani. Na safari hii litataka kutoa watu Roho. Tusubiri tu)
Hakuna kitu.....Kwamba?? High court za Tanzania ni mavi matupu??
Hujaumaliza mwendo bado, angalia sana unapokanyaga. Sana.
Uzinzi utakutupa jehanamuPunguza hasira
Kama ulikula demu wa Sabaya ukitegemea atafungwa jiandae kisaikolojia
Huyu hana lolote ilikuwa mguvu ya magufuli......sasa akiwa uraiani atakanyagwa na alio waoneaPunguza hasira
Kama ulikula demu wa Sabaya ukitegemea atafungwa jiandae kisaikolojia
Ni mkakati wa kumuunganisha na Makonda kwenye uteuzi ili majambazi warejee tena kwenye system.Jamhuri ndiyo imeshindwa rufaa
Kwa hiyo unasemaje?The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaapa? chini ya viapo vyao?
Na ndio kinachofuata. Ataishi kama digidigi. Kwa Arusha ajiandae kula chuma tu.Huyu wamuachie huru tu watesi wake wamshughulikie.
Nilijuwa tu Sabaya atapangua kesi zote. Mfumo ukikutuma unajuwa pia namna ya kukuchomoa kutoka kwenye moto.Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.
Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.
Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.
Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.
Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.
Sasa hapa pia tutasema Mahakama ya Tanzania inapendelea (inaiogopa) serikali?Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.
Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.
Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.
Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.
Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.
Objectivity katika masuala haya inatakiwa sana. Vinginevyo, utazua magonjwa yasiyoyalazima ya msongo wa mawazo.The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaapa? chini ya viapo vyao?
My friend!!! Siasa ni laini ngumu sana!!!....kitu kimoja
Pole sana. Ugua pole, utapona.Majaji wanaosubiri wapigiwe simu toka Ikulu ili kujua watoe hukumu ya namna gani, wana faida gani kwa Taifa?
Mtu wa karibu na ikulu, Rostam Aziz alikwishaeleza kuwa hakuna mwekezaji anayeweza kuja kuwekeza Tanzania, halafu akubali mgogoro usuluhishwe na mahakama za Tanzania ambazo hutoa hukumu kwa maelekezo ya Serikali.
Serikali aliamua kumkomesha Sabaya, iliporidhika amesota vya kutosha ilimwachia. Sabaya alipotaka kukoa wakamnyamazisha kwa tishio la rufaa. Aliposujudia, wameamua kumwachia tena. Akizidi kusujudia, atapewa ukuu wa mkoa.
Sasa hivi court haisomeki...ninyi watu ninyi....!!! Mungu anawaona mjue.Ndio maana tunasema ukifanyiwa ubaya na mtu wewe malizana naye kibingwa kwa vyovyote vile hata kuroga.
Ukisubiri court utashangaa hadi macho yatoboke.
Wanamsafisha ila wampe teuzi aendelee kula kodi zetu kwa raha lkn ajue ccm inayomlida haiwez kutawala milele anawez akarudi lupango atumie muda huu kuwaomba msamaha aliyowaumizaMahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.
Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.
Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.
Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.
Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.