Sabaya na wenzake washinda Rufaa dhidi ya Serikali kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Sabaya na wenzake washinda Rufaa dhidi ya Serikali kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.

Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.

Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.

Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.

Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.
Mkurugenzi wa mashitaka na benchi lake yafaa wajiuzulu kwani kuna madai kwamba kesi dhidi ya sabaya ilichagizwa na wenye shutuma za ufisadi ambao ni wenye kisasi dhidi ya sabaya. Ushahidi mahakama kuu ulikua mkubwa dhidi ya mashitaka cha ajabu nini kilimsukuma muendesha mashitaka kukata rufaa mahakama kuu?
 
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.

Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.

Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.

Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.

Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.
Sasa acha adai maokoto yake (toka kwenye kodi za wananchi) kama fidia ya usumbufu na gharama za kesi huku akisubiria uteuzi.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Lengo lishatimia walitaka atumie ela zke zote kuendesha kesi kwasasa kashakuwa kapuku
 
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.

Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.

Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.

Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.

Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.
Ni haki yake arudishiwe U-DC wake ili kutekeleza misingi ya utawala bora.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Yan huyu Mama sa100 ashaanza kuwaachia huru majambazi....

Yani kesho natamani nitafute picha moja ya mabango yale ya barabarani nitandike makofi yale mashavu
 
Ukiona wanaopandishwa kuwa Justices of Appeal unaona kabisa kuwa kuna shida sana huko CoA! Ni hao judges kutoka High court ambako ni "mavi" maupu, "mavi" hayo yanapanda kwenda kwenye apex court! Soma hata kiingereza chao, shida tupu! Linganisha hukumu za bold judges kama Mwalusanya na za hawa UPE, utaona clear intellect difference, a very big one
Mmmmmhhh!? Wasomi wa jf.
 
The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaapa? chini ya viapo vyao?
Nenda ukakate rufaa nyingine kama hujaridhika.
Nyie majitu sijui vipi, hiyo rufaa ingeshinda ungesema mahakama ziko sawa.
 
Ukiona wanaopandishwa kuwa Justices of Appeal unaona kabisa kuwa kuna shida sana huko CoA! Ni hao judges kutoka High court ambako ni "mavi" maupu, "mavi" hayo yanapanda kwenda kwenye apex court! Soma hata kiingereza chao, shida tupu! Linganisha hukumu za bold judges kama Mwalusanya na za hawa UPE, utaona clear intellect difference, a very big one
Mwalusanya,kisanga,mandia,makame,eta al
Hiyo generation ilikuwa super sana
 
The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaapa? chini ya viapo vyao?
Bro mbona una hasira sana? Utajinyea bure we mbuzi
 
Ndugu Zangu Watanzania, Sabaya hata kama alikosea.
Ameshajifunza.
He is a Newborn by now!
Unamfaha Sabaya wewe au una imani iliyojikita kwenye msingi dhaifu.
Wti "Newborn".
Just wait and see how karma will avenge the victims. Ubaya na wema malipo yake ni hapa hapa duniani, sasa na au baadaye.
 
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imetupilia mbali Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamhuri, ikipinga uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, kumuachilia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela.

Hukumu hiyo iliyosomwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, Abesiza Kalegeya, leo Ijumaa Novemba 17, 2023, imesema hakukuwepo na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha, badala yake Mjibu rufani wa kwanza Lengai Ole Sabaya, alikuwa katika majukumu yake halali ya kufuatilia Makosa ya uhujumu uchumi kama ilivyoelezwa na Mashahidi wenyewe wa upande wa mashtaka.

Mahakama hiyo ya rufaa iliyokaa chini ya Mwenyekiti wake Jaji Jacob Mwambegele imeeleza zaidi kwamba, Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyomtia hatiani Sabaya na wenzake, ilikosea kutochambua ushahidi unaoonyesha wazi kwamba, haiijawahi kutokea Jambazi akamate Mtuhumiwa, amnunulie Ndizi na baadae kumpeleka Polisi kama Mashahidi wenyewe walivyoelezwa kutendewa na Sabaya.

Majaji wameeleza hiyo ni aina ya kwanza ya unyang’anganyi wa Majambazi kuepeleka waliowaibia Mahakamani, na kuhitimisha kwamba Wajibu rufaa waliachiwa kihalali na Mahakama Kuu.

Mkurugenzi wa Mashtaka alikata Rufaa kupinga uamuzi wa Jaji E. Kisanya, kuwaachilia huru Lengai Ole Sabaya, Sylivester Nyegu na Daniel Mbura, waliokuwa wamehukumiwa Kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha.
Ccm imemuokoa kada wao na jela.
 
Sabaya ana nini huyu?

Tokea kipindi kile sijui alikuwa na cheo gani ndani ya ccm mkoa wa Arusha aliwahi kuburuzwa mahakamani sijui issue iliishaje
 
Majaji wanaosubiri wapigiwe simu toka Ikulu ili kujua watoe hukumu ya namna gani, wana faida gani kwa Taifa?

Mtu wa karibu na ikulu, Rostam Aziz alikwishaeleza kuwa hakuna mwekezaji anayeweza kuja kuwekeza Tanzania, halafu akubali mgogoro usuluhishwe na mahakama za Tanzania ambazo hutoa hukumu kwa maelekezo ya Serikali.

Serikali aliamua kumkomesha Sabaya, iliporidhika amesota vya kutosha ilimwachia. Sabaya alipotaka kukoa wakamnyamazisha kwa tishio la rufaa. Aliposujudia, wameamua kumwachia tena. Akizidi kusujudia, atapewa ukuu wa mkoa.
Nasemea tu,kuwa Sabaya ameshinda kesi dhidi yake zilizoelekezwa kwake na wahasimu wake kisiasa plus wahujumu uchumi wa hai nk nk..
Tafsri yake,ushahidi uliotolewa usiokuwa na Shaka juu yake umethibitisha kuwa ni msafi,hakufanya lolote Kwa chuki wala kisasi kama ambavyo wahasimu wake walivyo mshutumu...

Katika tafsri nyingine,Lengai Ole Sabaya sasa anaruhusiwa kuteuliwa kuwa DC,RC au kushika nyadhifa yoyote Ile ndani ya chama na ndan ya serikali.Tasfri yake nikuwa kundi kubwa la walio"piga miluzi" kupoteza dira wamefeli,naona 2024-2025 Moto ni uleule..

Tulihitaji na tunahitaji vijana majasiri wapambanaji wanaoweza kukitetea chama na serikali katika mazingira yoyote yale,ambao wapo tayari kutumika,kubeba lawama,chuki nk nk...hivi ndivyo Sabaya,Makonda,Hapi,unaweza kuwaelezea..

Hii taifa,inawezekana kabisa waliokuwa wanasema bandari imeuzwa maisha ni Wana CCM wakubwa tu,tena ambao ukiambiwa ndo hawa utawashangaa,inawezekana ukiambiwa ishu ya Bandari Rais Samia alitengenezewa game kwasababu kunakundi la watu waliona hawan ulaji utashangaa,ukiwa na watu kama hawa uhakika wa kukupigania ni mkubwa,hawa hawaangalii personal interests hawa wanaangalia maslah ya Chama,nchi na mwenyekiti Kwanza...

I'm done .
 
Huyu wamuachie huru tu watesi wake wamshughulikie.
Hizo propaganda za chadema comrade tuko naye mtaani hana baya na mtu ,mtu mwena mpole sana na kipenzi cha watu
 
Back
Top Bottom