Sabaya na wenzake washinda Rufaa dhidi ya Serikali kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Safi sana Rais Samia , nyumbu wote watakuelewa sasa kwamba wewe na Magufuli ni kitu kimoja
Mkuu unapo sema Nyumbu una maanisha watanzania wapenda haki au Nyumbu wale wanyama wa hifadhini? Ebu fafanua tukuelewe!
 
Una hoja kubwa, lkn mahakama zetu zimejaa tumorous judges
 
Kama Mahakama hazitoi HAKI tena basi msiwalaumu Watanzania watakapojichukulia Sheria mikononi.
Mkuu mahakama hutoa hukumu kwa kuzingatia ushahidi uliopelekwa mbele yake, sio nje ya hapo.
 
H
Hii wala sio habari. Ilitarajiwa hivyo
 
Kwamba hadi wale wananchi waliokatwa masikio na kuingiliwa kinyume kule Hai walikuwa wanamsingizia?
Yule Ustaadh aliyevamiwa dukani kama jambazi, na wale wamiliki wa Hotels na wafanyabiashara je?
Sawa
Hpn dada sabaya hajamfira mtu popotr pale hzo Ni propaganda za cdm kumuaribia taswira yake mbele ya jamii

Mm nimefanya Kaz na sabaya kwa ukaribu mno sijapata kuona akitafanya mambo ya kishemzi Kama hayo
 

Rubbish, does it mean that the original charges were framed up? If so why is he not compensated for defamation?
 
kabla watesi hawajamshughulikia atakuwa amewashughulikia tayari,
 
CDM Hoyeeeee msiyemtaka kaja akiunganika na Paulo ngoma inogile
 
Jaji anapaswa kufahamu kukamata wahujumu uchumi sio kazi ya DC tena ikiwa katika wilaya nyingine kabisa.
 
Wameishinda serikali!real upuuzi wote wa CCM, hapo serikali, haijashinda, hapo kila kitu ni cha CCM, hakimu, mwendesha mashitaka, hapo ulikua ni upuuzi tu, na kupoteza pesa ya umma
 
Mkuu mahakama hutoa hukumu kwa kuzingatia ushahidi uliopelekwa mbele yake, sio nje ya hapo.
Rejea kauli ya Rostam Azizi na sote tunajua Mahakama za Tanzania haziko HURU
 
Mahakama zinafanya kazi kwa maelekezo ya CCM,na majaji kulinda ugali wao yaani hawako huru ktk mahakama zetu za Tanzania. Na sabaya hukumu yake siyo ya mahamaka hao wamesoma tu Kama wawakilishi maagizo ni kutoka juu ili wasimtie dowa waweze kumteua tena arudi chamani au serikalini kuendeleza maovu yake na timu zake.
 
Ngojeni muimgize Nchi kwenye machafuko na hatimae kwenye Vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Sisi wananchi tunajitambua, siyo nyumbu, kwa hiyo hatuwezi kuingizwa kwenye machafuko au vita vya wenyewe kwa wenyewe.
 
The expected! Mahakama za kishenzi. Kama walitoa hukumu kuwa Wakurugenzi kusimamia kura haina shida kwa vile wameapa kutenda haki, basi ujue hakuna mahakama ni takataka tu mbona wanajeshi wanapindua serikali ingawa wamaapa? chini ya viapo vyao?
Usirikeruke huyu ni ole Sabaya na wakurugenzi niwakurigenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…