Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

Bora kiongozi anayeshinda mitandaoni kwani anapata first-hand information na kujua majority ya raia wanasema nini na wanataka nini na upumbavu kiongozi kutegemea kuletawa taarifa zilizochujwa na zilizopikwa hivyo kushindwa kujua ukweli wa mambo on the ground.
Mwendazake alifikia mpaka kuwa anajifanya ameoteshwa kumbe hitmen wake wanavyokuwa kwenye mizunguko yao humletea habari watakazo na ambazo zinawalida na kuwafaidisha wenyewe.
Nchi inaenda vizuri sana kwa sasa ndiyo maana majority ya watu wana furaha sana.
 
Saa hizi unameza sweettablet huko ujue, huamini
Siamini lipi? Unapokuwa na utaalamu wa Management, la kusimamishwa Sabaya linakukoseshaje raha? Ila umeona utofauti? JPM alikiwa anaondoa kabisa! Huyu anataka kupendezesha kote. Ataweza!?
 
Siamini lipi? Unapokuwa na utaalamu wa Management, la kusimamishwa Sabaya linakukoseshaje raha? Ila umeona utofauti? JPM alikiwa anaondoa kabisa! Huyu anataka kupendezesha kote. Ataweza!?
Bora uondoshwe kabisa lakini sio alivyosimamishwa Sabaya.Sabaya akikutwa na Tuhuma si inabidi aanze kuhudhuria Kisutu
 
Mwisho wa siku anaweza kuhamishwa wilaya tu, au ndio atapewa mkoa kabisa, CCM ni ile ile.
C imesemwa anasimamishwa maana kuna tuhuma nying juu yake, au ndo anaeza pigwa jik nn 🤣🤣✔️
 
Bila shaka wakati unaponda interviews za akina Sabaya , utakuwa hapo hapo unasifia interviews za Tundu Lissu anazozitumia kujidharirisha!
Hapo kwenye kujidharirisha, ni utambulisho wa upush wako, Kwa hiyo endelea ‘kudharirika’!
 
Siku hizi hukumu zinatoka mitandaoni then zinafanyiwa maamuzi na viongozi tuliowapa dhamana.
Mambo ya ajabu kabisa kuwai kutokea duniani.
Tumetoka mbali mkuu! Kutoka malaika mkuu kutaka kuzima mitandao, hadi kuwa mahakama, Viva Melo!
 
Siku hizi hukumu zinatoka mitandaoni then zinafanyiwa maamuzi na viongozi tuliowapa dhamana.
Mambo ya ajabu kabisa kuwai kutokea duniani.
Kwaio we use watu tukupost ukiwa una halafu Mamlaka zikuache unawaza kwa kutumia matako
 
Hata yule wa Iringa pamoja na RC na RC wa Ntwara hovyo kabisa
Mama Samia akimrudisha huyu na Jerry Muro nadhani atakuwa ameshusha Imani ambayo wengi wanayo juu yake. Kuna watanzania wengi sana wanaweza hiyo ofisi sio hao wapuuzi pekee.
 
Na ndiyo maana Bwana Mungu akachukua maamuzi mapema alipoona habadiliki alipoona anazidi kuumiza watu wake. Ndipo Bwana Mungu alipoamua kung'oa mzizi mkuu kisha matawi yanyauke yenyewe na kupukutika kwa kukosa maji kutoka ardhini.

Kazi iliyobaki kwa mpanzi mpya ni kupukutisha matawi yote na kuchoma mkaa yale magogo ya mti mwovu kisha kupanda mti mpya utakao toa kivuli kwa watu wa Bwana Mungu.

Watashindana lakini hawatashinda
 
Au apatikane na hatia, aende gerezani, waza hilo pia!
Si utaratibu wa sisi wanaccm na serikali yetu kuwatupa wenzetu gerezani Kumbuka yule ni mwenzetu.

Kuna reference yyte ya mwanaccm kuhukumiwa na kutupwa gerezani.
 
Hahaha. Aisee umeona mbali sana bro . Ubarikiee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…