Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

Hiki kituo kimekosa mkurugenzi wa vipindi,tangu Boss Ruge afariki,kituo kimeyumba sana,
Nakumbuka ishu ya shirawadu walipotakiwa warushe mahojiano Kati ya mwanamke anayedai alizaa na Gwajima,harafu akatelekezwa,Ruge aliwauliza vijana wa shiradu kama 'wamebalance story kwa kuhoji upande wa pili,yaani Gwajima mwenyewe,vijana wakasema hawajaweza kuongea na Gwajima,Ruge akawashauri wasirushe kipindi hewani mpaka story ibalance,kwa kumuoji Gwajima,kipindi hakikurushwa mpaka mweu mmoja Makonda alipovamia kituo na kulazimisha
 
Walichemka sana kufanya ile intavyuu juzi. Kwanza wakati haikua sahihi kwa fukuto lililopo na pia hawakubalance sijui walikua na lengo gan
 
Mkuu wa wilaya unafanyaje interview as if unauza sera kama mwanasiasa? DC sio mwanasiasa ni mtendaji wa serikali anafanyaje Ile interview? Ni ujinga umemponza na ujangili wake.
 
Clouds kituo kisichosoma Alama za nyakati....Ruge was best pale. ..zamani vituo vingine vilikuwa vinacopy ubunifu wa clouds lakini wao wamegeuka mabingwa wakucopy kutoka vituo vingine. Wanapwaya Sana...wawasukuru watangazaji wachache Kama akina masoud otherwise hiyo media ingekuwa taabani zaidi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…