Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

Ukimuona boss yeyeto ni mkali Sana na ujifanya ni smart Sana jua kuna uhalifu anauficha.Sabaya ni jiwe type.
 
Hao watoto waanze kupelekwa Uzi wa Kula Tunda Kimasihara kwanza!
 
Clouds wamekosa weledi sababu ya kuendekeza njaa
 
Hovyo kabisa, sielewi ni kwanini wameporomoka hvyo mwanzo walikua wana weledi katika kazi zao. Sitaki kuamin kua Ruge ndio alikua kila kitu pale.
kaondoka na clouds yake. ni kama creativity na weledi umesepa nae
 
Siamini lipi? Unapokuwa na utaalamu wa Management, la kusimamishwa Sabaya linakukoseshaje raha? Ila umeona utofauti? JPM alikiwa anaondoa kabisa! Huyu anataka kupendezesha kote. Ataweza!?
kwamba sabaya kushtakiwa ni kupendezesha watu?
utawala huu unafuata sheria. uliopita haukua una favour sheria zilizopo. ni mtu ana amua tu. tawala haziwez fanana kimaamuzi
 
Sabaya ni mjinga..hana mtoto,hana mke hana makazi ya kudumu. He is just a foolish young man. Kajimaliza
 
Hao nao ninawsiwasi wapo wanufaika wa hayo mauzauza. Wachunguzwe kwa rushwa
 
Hao nao ninawsiwasi wapo wanufaika wa hayo mauzauza. Wachunguzwe kwa rushwa
wapo watangazaji 3 wa clouds 360, PJ, Sasali na Kija sasa kati ya hao unadhani nani anaweza akawa amevuta mpunga ili mahojiano na sabaya yakafanyika?
tusije tukawa tunawalaamu kumbe hakuna kitu.
 
Mwisho wa siku anaweza kuhamishwa wilaya tu, au ndio atapewa mkoa kabisa, CCM ni ile ile.
Hakuna kitu kama hicho mkuu, huyo ndio mwisho wake wa kisiasa. Madam Sasha hawezi kujitia doa kumpa nafasi yeyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…