Especially unapokuwa hujui, na hujui kuwa hujui! Ebu nipe kitu hapa ndugu yangu ili mawazo yangu yapanuke. Kumbuka pia kuwa maji na chumvi havifanani lakini; solute (chumvi) and solventLike dissolves like! Ukiwa hujui, unawasifu wenzako wasiojua. FINITO!
Ndio,Niko bize na Bunge letu la rubber stamp linalolinganishwa na Bunge la UK 😁😁Heeh
Ushawishi wake utoke wapi? Alijiuzulu uwaziri mkuu kwa aibu kubwa sana na hadi leo anaendeela na scandal zake huko UK
Mwaka juzi alinunua jengo huko UK akakwepa kodi
Mama achunge uhusiano wake na Blair jamaa sio wa kumuamini sana huwa analo lake alilolificha moyoni.Blair aliwahi pia kukosana na Tz kwa sababu alituuzia radar kifisadi
Ingekuwa sawa kama hii nchi ni yetu..., ila hii nchi ni ya vizazi na vizazi kama mababu wangeuza leo usingekuwa na sehemu ya kuishi..., Kwahio Muuzaji na Mnunuzi wote ni Wezi tu (Huwezi kusema Ardhi / Nchi / Dunia) ni mali yako binafsiMnaonaje nchii ikauzwa alaf kilammoja akakatiwa chake akatafta kwakwenda
Mkuu Burundi pia walikuwa Kama Tz, mwanzo walizikataa. Ila mbona hawakumtumia Blair kupata tena hizo chanjo?
Unaitolea mfano Rwanda kwenye nini? Be specific ili twende sawa, wewe ni mtoto wa nursery. Leo nakupa shule bure.Wewe
Hivi mtu alishawahi kuwa kiongonzi wa wanaharakati NGO unaweza kutegemea la maana kutoka kwake?Mama achunge uhusiano wake na Blair jamaa sio wa kumuamini sana huwa analo lake alilolificha moyoni.
Mimi ndio niliekuwekea tozo baada ya kuona mabavicha mnatusaport sana na mama yetu kwamba anaupiga mwingi.mataga pori vipi ukivaa shati la kijani haukatwi tozo??? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mama achunge uhusiano wake na Blair jamaa sio wa kumuamini sana huwa analo lake alilolificha moyoni.
masikini mataga pori mmekuwa wapooole kama kuku wa mdondo.Mimi ndio niliekuwekea tozo baada ya kuona mabavicha mnatusaport sana na mama yetu kwamba anaupiga mwingi.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mchumi kabisa unieleze utofauti wa tax avoidance na tax evasion? Shut up u idiot
Sisi mataga ndio tulikaa kwenye kikao tukakubaliana kuweka hizo tozo!masikini mataga pori mmekuwa wapooole kama kuku wa mdondo.
Mlidhani shati la kijani litawapunguza bei ya petrol kila mkienda sheli [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Rada iliuzwa na BAE sio blair yule waziri sijui karamagi ndio waliokula diliBlair ana majanga mengi miaka na miaka na hapo ndio concern yao ilipo
Blair alihusika na kutuuzia radar kwa Bei kubwa, hali iliyopelekea bunge la uingereza kuingilia Kati.
Nimefananisha tukio, kuwa na akili basi. Wewe una hadhi gani ikiwa 2001 tu ulikuwa bado unalamba kamasi?
Shule nitakupa, tena bure kabisa