Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Zuchu sio msanii? Halafu mnamchukia kawalia nini?Ulivyotaja Huyo zuchu ukapoteza maana nzima ya topic yako.
The weekend nae?maana na yeye amelalamika[emoji23][emoji23][emoji23]Hao kina Zuchu, Diamond na Rayvanny tuzo wakazichukue Lumumba
Yeah bado uko mchanga kwenye masuala ya Sanaa,so lazima uwe mvivu[emoji23][emoji23][emoji23]Nipofika hapo P Diddy ndo executive producer sijui ndo nikaishia hapo hapo..
Hapa umeongea fact,it means The weekend, Diamond,Rayvanny na Zuchu ni level moja.Sasa kama The weeknd ameshindwa kuchukua hao kina Diamomd na Zuchu ni nani mpaka wao wapite
Hawaezi kuwa level moja The weeknd ana fan Base kubwaHapa umeongea fact,it means The weekend, diamond,rayvanny na zuchu ni level moja.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watumiaji wa Tecn mn ego sana.. can't argue with you
Anakaza nini? 😨
Acha utaahira soma hapaThe weekend nae...!!!??maana na yeye amelalamika[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mbona wamemtema?Hawaezi kuwa level moja The weeknd ana fan Base kubwa
Hajui nina simu Kama aina 4[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]Anakaza nini? [emoji32]
Sasa mbona uzi upo clearAcha utaahira soma hapa
View attachment 1635043
Ushindani mkuu unataka kusema waliochukua hawakustaili au nini?
Sisi tuna kazi maalum ya kulaumu hayo mambo ya tuzo wataanzisha wengine[emoji3]Hivi sisi watanzania tumeshindwa kabisa kuanzisha tuzo zetu kweli jamani........??? Mbona tunatia aibu sana......!!!!!
Tena Kuna fursa kubwa sana ya kibiashara kupitia tuzo endapo mtu akaamua kuanzisha.....yule owner anakua na fursa kubwa sana ya kujitangaza kibiashara........Sasa sijui watanzania akili za kubuni tulizitupa kwnye kisima gani
[emoji849][emoji849]Bila shaka nawe ni tekino usser