Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Tatizo mnaolalamikia sana sadaka hamtoi sadaka, ila waganga wanawakamueni kichizi
 
Wanakuaga kama wamepumbazwa akili. Huwaambii kitu hadi aje kushtuka it's too late
Halafu wakitoka huko wanarudi na wese, maji na chuvi wamevinunua kutoka vibaraza vya upako.
Wanajimaliza juu chini.

Demi tuanzishe kanisa, wewe mhubiri mie mhesabu sadaka😇
 
Tapeli tu,anawakunguta wajinga

Ova
 
ana nguvu kumzidi aliyemuumba..
 
Aiiseee
 
Halafu wakitoka huko wanarudi na wese, maji na chuvi wamevinunua kutoka vibaraza vya upako.
Wanajimaliza juu chini.

Demi tuanzishe kanisa, wewe mhubiri mie mhesabu sadaka[emoji56]
Unadhani rahisi hivyo..halafu wengi mnajisema huku hajakutana na matatizo..siku ukipata majanga ya dunia ndio utajua hujui utatafuta msaada popote pale.

#MaendeleoHayanaChama
 
manabii wa kula keki na kukanyaga mafuta ya nazi , halafu wanashushia na maji ya canadian, duh hatari sana kweli wajinga wameendelea kuwa wengi sana nchini
Wewe hapo ndio unajiona mjanja...ukute na wewe kina mahali wajanja wanakutafuna vzr tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
😁😁😁 bi mkubwa aliulizwa : Mama na wewe huwa unajimaliza

akajibu: ndio kuna siku nilijimaliza nikakosa mpaka nauli nikachoka 😁😁😁

yanafurahisha ila yana huzunisha
 
Unadhani rahisi hivyo..halafu wengi mnajisema huku hajakutana na matatizo..siku ukipata majanga ya dunia ndio utajua hujui utatafuta msaada popote pale.

#MaendeleoHayanaChama
Imani haiuzwi.
Mungu hakutudai fidia yeyote kwa kifo cha Mwanae aliyejitolea uhai wake kwa ajili yetu.

Kwa nini shida za wagu zitumike kama kigezo chabkujikusanyia faida?

Mathayo 10:8
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
 
Naamini iko siku serikali yetu itamchukulia,hatua huyu mchungaji sijui Nabii! Kwani sasa kaingia kwenye utapeli kwa kujificha kwenye Neno la Mungu, au afanye ziara Rwanda akakutane na mkono wa Chuma wa Kagame
Haitakaa itokee huyo ana nguvu za ajabu. Ni Mungu tu atamuadhibu
 
Hahahahah konda anakwambia siti zipo za kukaa, jichanganye sasa utajua hujui. 😂
 

hukuomba namba?....kama hukuomba namba wewe ni bwege.
 
Mimi namuacha kbsa kama mke ni wa namna hii
 
Kwanini serekali ipisige marufuku haya mavitu

Kuna nini nyuma ya Panzia?
 
Kumbe kuna wenye uwezo wa kuwafufua wafu?! Kama nani aliwahi kufanya hivyo?
 
Acha kukariri maisha..unataka hiyo ministry ijiendeshe vipi usawa huu wa magari..ambapo kila kitu ni pesa..Yesu kristo alikua na wahasibu kwajili ya kutunza mfuko wa fedha ili kuwezesha injili...au hufahamu kazi ya Yuda iskariote.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…