Sadaka za Jumapili moja Ml 40-60, ubunge sh Ml 10 kwa mwezi, bora siasa ama Imani?

Sadaka za Jumapili moja Ml 40-60, ubunge sh Ml 10 kwa mwezi, bora siasa ama Imani?

Nchi nzima huwa wanatoa orodha ya makanisa ya KKKT yanayoongoza kwa sadaka kila mwisho wa mwaka mkuu, hivyo usinidanganye, no 1. Azania front 2. Arusha mjini kati
Sijabisha mi nimekuambia uliza au nenda hapo sikiliza matangazo ya matoleo ya jumapili iliopita.
 
We nae ubishi kila kitu..si umeambiwa uende jpili ukasikilize mapato ya jpili iliyopita kwenye hayo makanisa yaliyotajwa

Mimi nimeshuhudia sadaka zaidi ya m 40 zikitolewa jpili moja na ni Jambo la kawaida sn
Sadaka za usharika mzima na wewe na siyo mtaa mmoja
 
Nchi nzima huwa wanatoa orodha ya makanisa ya KKKT yanayoongoza kwa sadaka kila mwisho wa mwaka mkuu, hivyo usinidanganye, no 1. Azania front 2. Arusha mjini kati
Mzee huyajui vzr makanisa ya kkkt,kijitonyama tuu hizo 30m kwa week ni jambo la kawaida kabisa
 
Kwenye nchi ambazo hakuna misukule watu wa hivi wanapigwa mawe tu
The higher the illiterate rate is the higher the money collected by the pastor...........watu wana kusanya pesa katika hao watu masikini. Imagine hicho ni kiasi gani
Screenshot_20210901-090217_Chrome.jpg
 
Umeogopa kumtaja jina, angekuumbua vibaya sana , hahahaha
 
The higher the illiterate rate is the higher the money collected by the pastor...........watu wana kusanya pesa katika hao watu masikini. Imagine hicho ni kiasi ganiView attachment 1919016

Yaani ni imani mbovu sana kwa watu wasiojutambua
Imagine wengine wanalazwa chini na pastor anapita juu ya migongo yao

Maskini ni laana in a way ndio maana wako hivyo
Halafu anaona kabisa kuna wengine hawajala jana ila bado anawakamua na kwa uzezeta wao wanatoa tu
 
Hizo tunaziita roho za husda aka kichawi wivu unauwa Kama Ni mapata hayo Kila mtu angekuwa askofu
 
Kwa Tanzania yetu sina hakika kama kuna Kanisa lolote linaloingiza kiasi hicho cha fedha kwa sadaka kila jumapili! Kama una chuki naye tafuta namna nyingine ya kumsema.
 
Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.

Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.

Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.

Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.

Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na Imani za watu papo. Mjanaja sana Bishop Mbunge huyu.

Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.

Wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekana na double standard - Jerry Silaa ahapa ametoka hero.

Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshadibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli!

Elibariki hebu kiri tu umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.

Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho ambayo ni kodi zetu!
Japan finds black particles in Moderna vaccine
Japan has put a batch of Moderna's Covid-19 vaccine on hold after a foreign substance was found in a vial.
A pharmacist saw several black particles in one vial of the vaccine in Kanagawa Prefecture, according to authorities.
Some 3,790 people had already received shots from the batch. The rest of the batch has now been put on hold.
It comes less than a week after Japan suspended the use of about 1.63 million Moderna doses due to contamination.
The pharmacist found the black particles while checking for foreign substances before the vaccine's use.
The jab's domestic distributor has collected the vial suspected to be contaminated.
Local media reports say there is no evidence so far of any health hazards caused by the potentially contaminated vaccine.
Takeda Pharmaceutical, which sells and distributes the vaccine in Japan, had just last week put three batches of the vaccine on hold after "foreign materials" were found in some doses of a batch of roughly 560,000 vials.
Spanish pharmaceutical firm Rovi, which bottles the vaccine, said in a statement that a manufacturing line in Spain could be the cause of the issue.
It added that it was conducting an investigation.
On Tuesday, Japan's health minister said foreign matter found in jabs in the southern prefecture of Okinawa were due to needles being incorrectly inserted into vials.
Japan is battling a spike in Covid cases while it hosts the Paralympic Games.
Its vaccination roll-out has been relatively slow, with just over 40% of Japanese people fully vaccinated and around 50% having received one dose.
Source BBC NEWS

“unapoamuka asubuh usikimbilie kuandika uzi pitia kwanza kwenye vyombo vya Habari vya kimataifu ujuwe kinachoendelea nini.
Mara 2 Japan wanagundua vitu kwenye Chanjo.

kama umechoma Chanjo jiandae kisaikologia”
 
Back
Top Bottom