Sadaka za Jumapili moja Ml 40-60, ubunge sh Ml 10 kwa mwezi, bora siasa ama Imani?

Sadaka za Jumapili moja Ml 40-60, ubunge sh Ml 10 kwa mwezi, bora siasa ama Imani?

Acha uongo wewe nasali KKKT miaka yote karibu makanisa yote makubwa ya KKKT nimesali hakuna kitu kama hicho
Ninkweli mm biinafs nasalai pale kwa dkt mastai watu wanatoa sadaka jmn na pia watu wanabarikiwa snaa pale ...sadaka pale siko Kama kumi nawatu wanaotoa aisee...mungu Yuko jmn
 
Usiwasagie kunguni watumishi wa bwana sije Waziri wa fedha akaweka Kodi kwenye sadaka.
 
Mnadhani milioni 60 ni hizo pumbu mlizobeba?

Pale hata milioni moja unaweza kuta hafikishi labda mnasema hivyo kuhalalisha utakatishaji fedha.

Mtu anaweza kuwa na njia za panya za kuingiza kipato alafu akasingizia kanisa
 
nawaza kwa sauti... milioni arobaini....
Kila jumapili kuna sadaka za aina si chini ya 4 zinatolewa
sadaka ya shukrani.... mtu hawezi kutoa 5000 ----- hapa ni kuanzia 30,000 kupanda juu
sadaka ya fungu la kumi ------- let say 15,000
sadaka ya jengo ----- 5000 (kima cha chini
sadaka ya ahadi ------ 5000 (kima cha chini
sadaka ya wiki ---- 5000
Mtu mmoja anaweza kutoa 60,000 kwa mara moja (hawa ni wachache)
wa chini kabisa atatoa 10,000 kwa mara moja (hawa ni wengi na siku nyingine hujitahidi kuongeza)

Kweli kanisa linalipa.....
 
Askofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.

Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.

Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.

Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.

Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na imani za watu papo. Mjanja sana Bishop Mbunge huyu.

Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.

Lakini pia - wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekane na double standard - Jerry Silaa hapa ametoka HERO wetu.

Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshamwadhibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli ni shujaa wetu kati ya wabunge wote wa sasa!

Elibariki Kingu ninavyokufahamu! hebu kiri tu kuwa umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.

Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho hiyo isiyokatwa kodi ambayo ni kodi zetu 100%!
Kingu aangushiwe kitu kizito tu hana faida ni wnafiki walewale
 
Back
Top Bottom