Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Wacha uongo wewe kanisa hilo la walutheri korogwe hebu kuwa na haya hata kidogo!!!Kimara korogwe wanapiga mpaka 70 kila jmpl gari la bank linasubiri mzigo nje ibada ikiisha tuu wanabeba kuhesabia bank
Ninkweli mm biinafs nasalai pale kwa dkt mastai watu wanatoa sadaka jmn na pia watu wanabarikiwa snaa pale ...sadaka pale siko Kama kumi nawatu wanaotoa aisee...mungu Yuko jmnAcha uongo wewe nasali KKKT miaka yote karibu makanisa yote makubwa ya KKKT nimesali hakuna kitu kama hicho
Kbsaa pale uhakika watu Ni watoaji haswaKaribu KKKT kimara uwe shuhuda.
KanumbaNitawaambia ninamfufua naniii....
Ndiyo inafikia milioni 40?Ninkweli mm biinafs nasalai pale kwa dkt mastai watu wanatoa sadaka jmn na pia watu wanabarikiwa snaa pale ...sadaka pale siko Kama kumi nawatu wanaotoa aisee...mungu Yuko jmn
Akizijua hawezijua koma inakaa wapiSijui mleta post anajua hata talakimu za ml.40 au 60 Kama anajua ziko ngapi.
Hakuna sadaka ya aina hiyo, japo sijawahi ingia kanisa hilo, naliona kwenye tv.Huo ushahidi kuwa anaingiza mil 40-60 uko wapi
Kingu aangushiwe kitu kizito tu hana faida ni wnafiki walewaleAskofu Mbunge hupata sadaka za kuanzia Ml 40 hadi Ml 60 kwa Jumapili moja. Amekuwa Mnafiki kwa sababu biashara anayofanya hataki kupoteza waumini wake.
Huyu hana tofauti na Kibwetere kwa sababu mahubiri yake ni mipasho na kutisha watu kuombewa hadi kufa.
Jumapili ijayo ni lazima atampasha Mbunge mwenzake Elibariki Kingu na kumtishia kifo! hii yote ili asipoteze sadaka.
Mapato ya Bishop Mbunge huyu kwa Jumapili baada ya kuingia bungeni yaliongezeka sana na kumfanya ajitahidi kubalance kote.
Akipoteza ubunge na mapato yake ya Jumapili yatapotea au kupungua sana. Anacheza na siasa na imani za watu papo. Mjanja sana Bishop Mbunge huyu.
Wanasiasa wameanza kumshtukia - sasa tuone atakujaje Jumapili.
Lakini pia - wabunge nao kwa unafiki wao wameamua kumwadabisha na Jerry Silaa ili wasionekane na double standard - Jerry Silaa hapa ametoka HERO wetu.
Eti Elibariki Kingu unadai Jerry ataenda kumwomba msamaha Ndugai - msamaha gani sasa wkt wameshamwadhibu? Sisi tunajua JS ndiyo mwakilishi wetu wa kweli ni shujaa wetu kati ya wabunge wote wa sasa!
Elibariki Kingu ninavyokufahamu! hebu kiri tu kuwa umemnafiki Spika Ndugai kwa kujaribu kumwonesha indirectly kuwa JS yupo sahihi.
Haya wawakilishi wetu - endeleeni kula miposho hiyo isiyokatwa kodi ambayo ni kodi zetu 100%!
Unaishawishi tra iweke kambi makanisani jumapili.We nae ubishi kila kitu..si umeambiwa uende jpili ukasikilize mapato ya jpili iliyopita kwenye hayo makanisa yaliyotajwa
Mimi nimeshuhudia sadaka zaidi ya m 40 zikitolewa jpili moja na ni Jambo la kawaida sn
Kama huamini kaa kimya ndugu tusilumbaneWacha uongo wewe kanisa hilo la walutheri korogwe hebu kuwa na haya hata kidogo!!!
Ni kwa sababu umezoea siasa za Mbowe. Hakuna shida, komaa naye.Siwezi kumtetea mtu yoyote aliyepo CCM hata kwa dak moja
Napenda hakiNi kwa sababu umezoea siasa za Mbowe. Hakuna shida, komaa naye.
sisi kazi yetu ni kumuombea afe. OverSiku za mwisho atatoa hesabu ya nafsi alizopoteza
Hatupaswi kufanya hivyosisi kazi yetu ni kumuombea afe. Over