Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !JIWE alikuwa katili sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !JIWE alikuwa katili sana.
Mbowe ni mnafiki na wakala wa wazungu anatafuta huruma ya mama Samia ili dili lake alilokula 10% kwa kuleta chanjo Tanzania.Leo Saed Kubenea ameonana na Waziri wa Habari kama ilivyoelekezwa na Wizara baada ya Tamko la Mh Rais Samia Suluhu la kuagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kizushi yakiwemo magazeti vifunguliwe .
Tuendelee kusubiri yatakayojiri baada ya kikao hiki kufanyika huku tukisubiri Wahariri wengine wakifika wizarani hapo kwa majadiliano .
Sasa msaada unakuwa mzigo kwa wananchi vipi? Tofautisha msaada na mkopo.Duh bado tu mnawaza misaada. Pesa zenyewe zinatafunwa na wachache ila ulipaji mzigo kwa wananchi
Yaani Mhe Samia asithubutu kufungulia mwanahalisi na Tanzania Daima, na asijaribu kuruhusu mikutano ya upinzani, ni wapuuzi tuNi jambo jema.
J J Mnyika naye aende kufuatilia Tanzania Daima!
akikusikiliza wewe kapuku itakuwa ajabu sana !Yaani Mhe Samia asithubutu kufungulia mwanahalisi na Tanzania Daima, na asijaribu kuruhusu mikutano ya upinzani, ni wapuuzi tu
Walijificha chini ya red carpet, kipanya kawachomea kwa bi mkubwa, bi mkubwa kafagia kila kitu.Mataga hamna tena pa kujishikia baada ya mama Samia kuwatupia virago
Hivi hadi sasa kuna chombo chochote cha habari kilichofunguliwa? Au watendaji watishwa na kivuli cha Jiwe!Leo Saed Kubenea ameonana na Waziri wa Habari kama ilivyoelekezwa na Wizara baada ya Tamko la Mh Rais Samia Suluhu la kuagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kizushi yakiwemo magazeti vifunguliwe .
Tuendelee kusubiri yatakayojiri baada ya kikao hiki kufanyika huku tukisubiri Wahariri wengine wakifika wizarani hapo kwa majadiliano .
Ngoja tusubiriHivi hadi sasa kuna chombo chochote cha habari kilichofunguliwa? Au watendaji watishwa na kivuli cha Jiwe!
Kwani nyie nyumbu mna pa kujishikia? Samia kawapa Nini kila siku unamwabudu na kumsifu?Mataga hamna tena pa kujishikia baada ya mama Samia kuwatupia virago
Mlivyokuwa mna mramba viatu jiwe alikuwa anawapa nini hadi mkawa mnajidhalilisha?Kwani nyie nyumbu mna pa kujishikia? Samia kawapa Nini kila siku unamwabudu na kumsifu?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wameachwa kama watoto wa mitaaniWalijificha chini ya red carpet, kipanya kawachomea kwa bi mkubwa, bi mkubwa kafagia kila kitu.