mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
ukiliamini wewe inatoshaAs if anyone cares about how you feel! [emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiliamini wewe inatoshaAs if anyone cares about how you feel! [emoji849]
Kubenea watu wanambeza sana lkn niwahakikishie kabisa kuwa kwenye siasa hasa za Afrika hakuna uadui wala urafiki wa kudumu.Saed Ahmed Kubenea.
Mwandishi wa habar aliyewahi kuandika " yasoandikika"
Namkumbuka huyu jamaa kwenye issue ya ulimboka juu ya Ramadhani Ighondu. Kachero aliyemshambulia bwana Ulimboka.
Duh!.... "Maisha ndo haya bwana", yahani jamaa wameandaa mazingira ya kabla na baada ya kifo...
Ohh ok nmekpataDPP ana mamlaka ya kuingilia ku/ take over hiyo kesi na ku unter nolle /kulifuta
Hivi kwa mfano ukiona mtoto anabakwa ila wazazi wakaficha kwa kushirikiana na mbakaji, huwezi kufungua kesi jamhuri ikaisimamia!!?Wahusika hawatambui mashtaka, ila anaibuka kubenea.
Hii inaonesha wazi wahusika wako pamoja na kubenea nyuma ya pazia, lakini pia kuna uwezekano kubenea anao watu nyuma yake na wanao ushahidi wa kutosha na hii kesi imeletwa ili kukamilisha mpango fulani.
Tunamfahamu alikamatwa Namanga akiingiza pesa za maruhani 2020 zikakamatwa na kutaifishwa pia aligombea ubunge Kinondoni 2020 kupitia chama cha Zitto akapata kura 15.Unamuelewa vizuri Kubenea au unamuona magazetini tu?
Kuna usemi wa kiswahili kuwa ukimuona ngedere kariakoo basi ujue kuwa kuna mtu amemleta mjini
Ukiona panya anamtukana paka na majivuno mengi jua kuna shimo karibu. Kubenea ni panya na ana uzoefu sana na mashtaka dhidi ya serikaliUnamuelewa vizuri Kubenea au unamuona magazetini tu?
Kuna usemi wa kiswahili kuwa ukimuona ngedere kariakoo basi ujue kuwa kuna mtu amemleta mjini
Inawezekana kabisa watu wakaamua kama mbwayi iwe mbwayi wakapitishia kwa KubeneaUkiona panya anamtukana paka na majivuno mengi jua kuna shimo karibu. Kubenea ni panya na ana uzoefu sana na mashtaka dhidi ya serikali
As if anyone cares if you're part of that shit 😆😆😆As if anyone cares about how you feel! 🙄
Umeandika kama yeyele mutuz is super Humbled you know !!! na sasa amekondaz Man coz alilazwa Hospitali Man !!! but wabebez walitililika maelfu na maelfu kwenda kumuona you know!!
Kwahiyo mkuu bashite aachwe kwasababu wengine waliachwa?Thank you Bro,
Yaan kuna Mifisadi Papa iliharibu nchi yetu yanapeta hadi leo na mingine bado ipo Bungeni yanakula Kodi tu,
Makonda afunguliwe kesi eti kwa Matumizi mabaya ya Madaraka, are we serious!!?
We have a long way to go Watanzania.
Ningependa na kufurahi makonda apandishwe kizimbani, lakini ukiangalia hiyo affidavit, mmh! Huyu wakili sijui alipenya vipi Law school!Incompetent and fattaly defective affidavit subjected to be struck out
Ooh, mkuu! Have you drifted this low?!Bashite wahi fasta kwa wakili msomi BM anapatikana pale SSC!! Ukitaka habari za wakili BM, waulize utopolo!! hawana hamu na BM au ukitaka Bernard Morrison!!
Wale walioporwa mamilioni na Sabaya kule Arusha na Moshi walikosa muda wa kufika Mahakamani kutoa ushahidi? UVCCM mna matatizo gani lakini?PAUL MAKONDA Kawaumiza Matajiri ambao hawana muda wa kushinda Mahakamani. Pia wengi walishasamehe na kuendelea na Maisha.
Huwezi tuu kuzuia kesi bila sababu na asipoangalia atashtakiwa yeye DPP kwa kutumia madaraka vibaya, aache mahakama iamue kama itasikiliza au noHuna akili hujui kwamba DPP kwa mujibu wa sheria ana uwezo wa kuingilia na ku take over private criminal prosecution yyte at any time.....
ndio tatizo la jf unaweza kukuta kitoto cha shule ya msingi kinabishana profesa.......