Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Utaliamini tu ikifika hiyo tar 3Sijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaliamini tu ikifika hiyo tar 3Sijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
Anaemshtaki ni Kubenea siyo mamaNiliacha kununua magazeti kitambo ila hili kesho naenda nunua.. na kama kweli i'll stand with mama personally not nyinyiemu huyu jamaa kuna sehemu kupitia anko wangu kanigusa
Mmiliki wake ni nani? Nami silipagi uzito wowote na sijawahi linunuaHilo gazeti lipo serious kweli? Kuna magazeti huwa siyaamini mojawapo hilo Raia Mwema...
Check content,kushambulia gazeti badala ya hoja ni ukosefu wa maadili ya kisomiMmiliki wake ni nani? Nami silipagi uzito wowote na sijawahi linunua
Subiri tar 3Clouds walishamkana huyo Mwanasheria wenu uchwara naona anatafuta kick kupitia jina la Makonda na msifikiri Kila mtu anafurahia kuona mtu mwingine anateseka kwa sababu TU ya chuki za kisiasa na kuna maisha mengine nje ya siasa
Yani waliokuwa wanaongozana nae nao ni zero brain vile vile William mwili mkubwa akili ziko in micronsOhoooo !! Tabu ni kwamba atashitakiwa pamoja na wapambe wake ( chawa ) , Je Le Mutuz Nation atakosekana ?
wabongo masnitch sana
Reasoning yako on this issue as you have put it above is a bit questionable. Ubora wa gazeti unakuwa determined na content zake. Kama content ni za wasiwasi/hziaminiki and the like, basi gazeti automatically, gazeti as a whole linakosa sifa za gazeti bora la kuaminika/lote ni la wasiwasi and therefore issue ya kulishambulia gazeti instead of content does not make sense logically..... gazeti linashambuliwa based on the quality of the content.. ( mimi si mtaalamu wa magazeti and the filed as such lakini kuna vitu huwa vinaflow naturally hata bila kwenda shuele ya vitu hivyo.)Check content,kushambulia gazeti badala ya hoja ni ukosefu wa maadili ya kisomi
The validity of the magazine content can be proved with time as per raised issue.Reasoning yako on this issue as you have put it above is a bit questionable. Ubora wa gazeti unakuwa determined na content zake. Kama content ni za wasiwasi/hziaminiki and the like, basi gazeti automatically, gazeti as a whole linakosa sifa za gazeti bora la kuaminika/lote ni la wasiwasi and therefore issue ya kulishambulia gazeti instead of content does not make sense logically..... gazeti linashambuliwa based on the quality of the content.. ( mimi si mtaalamu wa magazeti and the filed as such lakini kuna vitu huwa vinaflow naturally hata bila kwenda shuele ya vitu hivyo.)
Sorry hiyo picha hapo front page ni yeye au ya waziri mkuu wa zamani? Msaada please kabla sijakomentiView attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December
Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?
Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Wewe inaonekana huna hata ile basic understanding ya sheria.Clouds walishamkana huyo Mwanasheria wenu uchwara naona anatafuta kick kupitia jina la Makonda na msifikiri Kila mtu anafurahia kuona mtu mwingine anateseka kwa sababu TU ya chuki za kisiasa na kuna maisha mengine nje ya siasa
Kabaki kipeke yakeView attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December
Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?
Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee