Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kesi dhaifu sana hii, hizi ndio kesi za kuwapa ujiko mawakiliKama Wahusika wameamua kuwa na Umakini huu basi usiwe unaishia tu kwa Wanasiasa tena wa Upinzani kwani unafanywa na wengine wengi tu.
Nitashangaa sana kama wengi hamuoni udhaifu wa mashtaka haya.