Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

Vitu vingi vinakua haviingii kabisa kichwani, yaani moja haikai mbili nayo tia maji. Katika kipindi kama hiki kwa nini mtu anakuwa anakosa umakini na kuacha nafasi za kutunguliwa, ni kama kumpa adui yako risasi ilhali unajua kwamba given a chance anakumaliza.
Hii ni post yenye akili kuliko zote.
 
Magufuli chsli yaani mchezo wao wa kipumbavu kabisa yote hiyo Kitila Mkumbo apite bila kupingwa
Kubenea anagombea na Abbas Tarimba na si Kitila Mkumbo jaribu walau kuwa uptodate na habari za mjini
 
(KES 491,700 X 23) + (USD 8000 x 2314) = TZS 28,411,327.80.
Bado ni vihela vidogo sana kiongozi. ..
Money laundering ni kosa kubwa sana.. BTW jamaa alikuwa Tz hata kama ni zao la biashara bado biashara aliouza ni very legiti.. hizi mambo naona zinakuzwa sana bila sababu
 
Sjakuelewa unasimamia wapi?


Mind you hakuna kesi ndogo..kesi inakua ndogo ikiisha

I know.

Mimi nasimamia kwenye taarifa zinazotoka na hii taarifa kwanza ilitakiwa itolewe na polisi ambao ni wakamataji.

Pili, hakukuwa na haja ya DPP kujitokeza kuelezea kuhusu hii kesi kwani yeye siku zote huwa "behind the scenes" kuelekeza mashtaka yatakayowasilishwa mahakamani na upande wa mashtaka.

DPP kazi yake ni kuona kama kuna ushahidi wa kutosha kupeleka kesi mahakamni au hakuna kesi na kufuta mashtaka kutokana na kukosekana ushahidi.

Nazungumzia kutoka kwenye kona ya udadisi.

Naona kama vile kuna kujimwambafwai fulani hivi kwa baadhi ya watu ambao wanaamua kufanya kitu chaitwa "making a meal" kwenye masuala fulani wakti huu wa uchaguzi.

Au wewe umeelewa vipi?
 
I know.

Mimi nasimamia kwenye taarifa zinazotoka na hii taarifa kwanza ilitakiwa itolewe na polisi ambao ni wakamataji.

Pili, hakukuwa na haja ya DPP kujitokeza kuelezea kuhusu hii kesi kwani yeye siku zote huwa "behind the scenes" kuelekeza mashtaka yatakayowasilishwa mahakamani na upande wa mashtaka.

DPP kazi yake ni kuona kama kuna ushahidi wa kutosha kupeleka kesi mahakamni au hakuna kesi na kufuta mashtaka kutokana na kukosekana ushahidi.

Nazungumzia kutoka kwenye kona ya udadisi.

Naona kama vile kuna kujimwambafwai fulani hivi kwa baadhi ya watu ambao wanaamua kufanya kitu chaitwa "making a meal" kwenye masuala fulani wakti huu wa uchaguzi.

Au wewe umeelewa vipi?
swala la kutangaza anauwezo nalo yan liko ndani ya uwezo wake
af polisi aishtaki mtu dpp ndo mwenyeuwezo huo

sawa mkuu
 
swala la kutangaza anauwezo nalo yan liko ndani ya uwezo wake
af polisi aishtaki mtu dpp ndo mwenyeuwezo huo

sawa mkuu

Kwa Tanzania iko 50/50

Ila nchi zingine nyingi humsikii DPP mpaka kuwe na utata kuhusu kesi fulani au kuna kitu chahitaji ufafanuzi.

Cha msingi DPP ameridhika na ushahidi na kafungua kesi na kaitangaza.

Tusubiri utetezi wa Kubenea.
 
Wewe sio Kubenea kwa nini u assume? kwanini assumption zako ziwe sababu ya kuonyesha DPP amekosea kumpeleka mahakamani? Ndio maana nikaeleza maelezo ya Kubenea polisi sio hizo assumption zako tusubiri huo utetezi wake.
Sasa wewe ni Kubenea hadi unaitimisha kwamba alivuka mpaka wakati mwenyewe anasema alikuwa Tanzania?! The problem unachanganya kati ya "maelezo ya Kubenea" kwa polisi na "maelezo ya DPP"!!

Wewe hoja yako inatokana na maelezo ya DPP na sio ya Kubenea ambayo amesema kwamba:-

...mtuhumiwa alieleza kuwa alifika mkoani Arusha tarehe 2/9/2020 akitokea Dar es Salaam na kufikia katika hoteli iliyopo Arusha mjini. Alieleza zaidi kuwa, tarehe 3/9/2020, alienda kulala kwa Kaka yake tarehe 3/9/2020, na tarehe 4/9/2020 alienda Namanga na kupokea fedha taslimu tajwa hapo juu kutoka kwa raia wa Kenya.
Hayo hapo ndo maelezo ya Kubenea, kwa maana nyingine anakana suala la yeye kwenda na kutoka Kenya!!!
 
Sasa wewe ni Kubenea hadi unaitimisha kwamba alivuka mpaka wakati mwenyewe anasema alikuwa Tanzania?! The problem unachanganya kati ya "maelezo ya Kubenea" kwa polisi na "maelezo ya DPP"!!
Ni wapi mimi nimekataa maelezo ya Kubenea? nimekwambia maelezo yake hayo ndiyo yamesababisha apelekwe mahakamani sababu yanatofatiana na ushahidi wa nyaraka alizokutwa nazo na upelelezi uliofanywa na Polisi. Ugumu uko wapi kuelewa hapo? Maelezo yake anadai alifikia Hotelini na kisha kwa kaka yake, hotelini aliyotaaja hakuna rekodi yake kwenye register na kaka yake hana taarifa. Kuna nyaraka za hotel aliyofikia Nairobi na tiketi yenye jina lake aliyosafiria toka Nairobi. Lakini pia hakuna taarifa mpakani ya yeye wala mgeni wake anayedai kumletea pesa kuwa alivuka mpakani. Hutaki kuamini ya wataalam waliopeleleza bali unatulazimisha tuamini ya mtuhumiwa na assumptions zako !!! tusubiri maamuzi ya Mahakama tuache kutengeneza dhania, ati alitaka kuwaingiza mkenge wabia wake.
 
Mwambie jirani akikupiga risasi hapati murder case maana ana kisingizio ulikua mwizi. Mtu huwezi kupitia dirishani kuingia nyumbani kwako. Jamaa anamtukana Mwanasheria kisa kampa pole Kubenea. Kuna wajinga wengi sana hapa
Jamaa ni mjinga sana. Eti mtu umeingia kwa njia za panya Tanzania basi usikamatwe kwa vile ndio upo nyumbani, ndio hoja yake apo ilipoegemea.

Halafu aliponichokesha kudai kuwa eti ukiwa na shengen visa basi unatembea tu nchi zinazokubali hio visa, sasa nkajiuliza, huyu mtu anaelewa lakini anachozungumza? maana sijui kasoma wapi kama ukiwa na shengen visa basi unaweza kuingia nchi za watu bila kupitia border control. Nikamuuliza kama nkiwa na Visa ya USA halafu nkiingia USA bila kupitia border hawatonikamata? ndio nipo nasubiri majibu kutoka kwa "Mtaalamu" wa Immigration 😀 anaesema kuwa ukiwa na Shengen unazurura nchi unazotaka bila kupitia kwenye border za nchi husika.
 
Mtu yuko ndani ya nchi yake unawezaje kusema ameingia kiholela?

Hivi unadhani mahakamani kuna maboya kama wewe wa kuendesha kesi kwa kuhisi bila ushahidi usio na shaka?

Lete ushahidi wa Kubenea kwenda Kenya na kurudi kiholela.
Mkuu,
Una point hapa nzuri.
Inabidi wa thibitishe kwamba alipita njia za panya. Ndio maana serikali inashindwa kesi kila kukicha. Wanafanya mambo kwa hisia. Tungekuwa na system ambayo mwanasheria Mkuu wa serikali na mikoani wanachaguliwa kwa kura. Ambayo itamulika utendaji wao wa nyuma, kama walishashindwa kesi ngapi!
 
just to enlighten you guys. Mienendo ya ACT yote iliyo wazi na ile iliyofichika inawafikia wazee wa kazi. Mvujishaji nani? Endeleeni kuunganisha dot...

ndo wakome kupokeapokea watu wenye viapo vyao.
 
Ni wapi mimi nimekataa maelezo ya Kubenea? nimekwambia maelezo yake hayo ndiyo yamesababisha apelekwe mahakamani sababu yanatofatiana na ushahidi wa nyaraka alizokutwa nazo na upelelezi uliofanywa na Polisi. Ugumu uko wapi kuelewa hapo?
Nani kakuambia sijaelewa?! Mjadala wetu ulianzia hapa, kwa kauli yako mwenyewe ulisema:-
Wakati mwingine mnajitoa ufahamu. Mtuhumiwa ameingia na kutoka nchini Kenya bila taarifa zake kuwapo mpakani. Ushahidi ni risiti ya Hotel aliyolala Nairobi, Memorandum of Understanding iliyosainiwa Nairobi na tiketi ya basi alilopanda toka Nairobi kwenda Namanga, unashangaa nini? maana yake Usafiri wake wa kwenda na kurudi ulikuwa ni wakuishia Namanga na kisha kuvuka kutumia njia za Panya, njia haramu.
Nikakuuliza ina maana risiti, tiketi na MoU zinaweza kuwa ushahidi kwamba aliingia na kutoka KE kinyemela?! Nikakuuliza what if hizo risiti na tickets alikuwa nazo in advance ili tu baadae avute mpunga ofisini kuonesha alisafiri hadi KE na kulala hotelini lakini hakwenda KE na badala yake hata hiyo MoU na fedha aliletewa na mtu from KE hadi mpakani?!

Baada ya kukuuliza hayo, wewe mwenyewe tena ukadai:-
Kumbuka Kubenea ametoa maelezo Polisi. Hayo uyasemayo siyo maelezomaliyotoa Polisi. Don't make speculations
Nami nikakuambia unachosema wewe sio maelezo ya Kubenea bali ni maelezo ya DPP kwa sababu Kubenea amesema hakwenda Kenya, lakini "uchunguzi" wa DPP ndio unadai alienda Kenya kwa kutumia kigezo cha risiti na tiketi kama ulivyokuwa umesema wewe!
Ni maelezo ya Kubenea aliyotoa polisi au ni maneno ambayo DPP anadai ni matokeo ya uchunguzi wao?
Kwa maana nyingine, unapohoji "...Ni wapi mimi nimekataa maelezo ya Kubenea?" Hapo tayari inaonesha umekana maelezo ya Kubenea ambayo anasema hajaenda KE lakini unachukua maelezo ya DPP ambae ndie anasema Kubenea alienda Kenya!!!
Maelezo yake anadai alifikia Hotelini na kisha kwa kaka yake, hotelini aliyotaaja hakuna rekodi yake kwenye register na kaka yake hana taarifa.
Bado hiyo haithibitishi kwamba alienda Kenya!QUOTE="Chige, post: 36615451, member: 12993"]Kuna nyaraka za hotel aliyofikia Nairobi na tiketi yenye jina lake aliyosafiria toka Nairobi. [/QUOTE] Again, tiketi na risiti peke yake havithibitishi kwamba alienda Kenya! Aidha, wakati DPP anaeleza kwa kujiamini kabisa kwamba:
1. Mtuhumiwa SAED AHMED KUBENEA hakufikia katika hoteli aliyoitaja Arusha mjini, wala kulala kwa Kaka yake kama alivyoeleza.
Kwa upande mwingine ameshindwa kusema kama SAED AHMED KUBENEA alifikia katika hotel ya kule Nairobi, na badala yake ameishia kusema:-
Mara baada ya upekuzi, mtuhumiwa huyo alikutwa, pamoja na vitu vingine.... Risiti ya malipo ya hoteli iitwayo After 40 Hotels Limited iliyopo Nairobi, Kenya yenye jina la Kubenea, Saed Ahmed kama mgeni kuanzia tarehe 3/9/2020 hadi 5/9/2020 na. Pasi yake ya kusafiria (Passport).
Hapo inaonesha wazi wala hawana ushahidi kwamba alilala kwenye hiyo hotel zaidi tu ya ku-assume kwavile walimkuta na risiti ya hoteli husika basi alilala kwenye hiyo hotel!Lakini pia hakuna taarifa mpakani ya yeye wala mgeni wake anayedai kumletea pesa kuwa alivuka mpakani.[/QUOTE] Sasa taarifa zake zitakuwa vipi mpakani wakati anasema hakwenda Kenya?! Na kuna wakati nilikuuliza kama huyo jamaa wa Kenya alifunga pesa na docs zingine sehemu moja, kisha alipofika mpakani upande wa KE, hicho kifurushi alikirusha upande wa TZ alikokuwa Kubenea, ina maana hapo Kubenea atakuwa aliingia Kenya hadi mtake kukuta taarifa zake mpakani?
Hutaki kuamini ya wataalam waliopeleleza bali unatulazimisha tuamini ya mtuhumiwa na assumptions zako !!!
Weka hapa maelezo ya hao watalaamu yanayothibitisha kwamba alilala kwenye hiyo hotel huko Kenya!
tusubiri maamuzi ya Mahakama tuache kutengeneza dhania, ati alitaka kuwaingiza mkenge wabia wake.
Acha kufanya exaggeration... nimekuambia what kama hizo risiti alitaka ku-claim malipo kutoka kwa wabia wenzake?! Issue ni kwamba, kuwa na risiti HAKUTHIBITISHI kwamba alilala kwenye hotel husika, na kuna possibilities nyingi tu zinazoweza kumfanya awe na hiyo risiti lakini bila kulala hotel husika!!!
 
Unaliona hili leo!
Kubenea ni mwandishi pekee aliyewahi kuandika YASIYOANDIKIKA . INGEKUWA KIPINDI CHA HUYU NDULI ASIYEPENDA KUKOSOLEWA WALA KUSHAURIWA.
Anayepora KOROSHO
Ambaye taka watu
Angepigwa risasi hadharani
Kama mwanyika anagombea ubunge? Naye atatoka tuuuuuu
 
Nani kakuambia sijaelewa?! Mjadala wetu ulianzia hapa, kwa kauli yako mwenyewe ulisema:-
Nikakuuliza ina maana risiti, tiketi na MoU zinaweza kuwa ushahidi kwamba aliingia na kutoka KE kinyemela?! Nikakuuliza what if hizo risiti na tickets alikuwa nazo in advance ili tu baadae avute mpunga ofisini kuonesha alisafiri hadi KE na kulala hotelini lakini hakwenda KE na badala yake hata hiyo MoU na fedha aliletewa na mtu from KE hadi mpakani?!

Baada ya kukuuliza hayo, wewe mwenyewe tena ukadai:-Nami nikakuambia unachosema wewe sio maelezo ya Kubenea bali ni maelezo ya DPP kwa sababu Kubenea amesema hakwenda Kenya, lakini "uchunguzi" wa DPP ndio unadai alienda Kenya kwa kutumia kigezo cha risiti na tiketi kama ulivyokuwa umesema wewe!
Kwa maana nyingine, unapohoji "...Ni wapi mimi nimekataa maelezo ya Kubenea?" Hapo tayari inaonesha umekana maelezo ya Kubenea ambayo anasema hajaenda KE lakini unachukua maelezo ya DPP ambae ndie anasema Kubenea alienda Kenya!!!
Bado hiyo haithibitishi kwamba alienda Kenya!QUOTE="Chige, post: 36615451, member: 12993"]Kuna nyaraka za hotel aliyofikia Nairobi na tiketi yenye jina lake aliyosafiria toka Nairobi.
Again, tiketi na risiti peke yake havithibitishi kwamba alienda Kenya! Aidha, wakati DPP anaeleza kwa kujiamini kabisa kwamba:
Kwa upande mwingine ameshindwa kusema kama SAED AHMED KUBENEA alifikia katika hotel ya kule Nairobi, na badala yake ameishia kusema:-Hapo inaonesha wazi wala hawana ushahidi kwamba alilala kwenye hiyo hotel zaidi tu ya ku-assume kwavile walimkuta na risiti ya hoteli husika basi alilala kwenye hiyo hotel!Lakini pia hakuna taarifa mpakani ya yeye wala mgeni wake anayedai kumletea pesa kuwa alivuka mpakani.[/QUOTE] Sasa taarifa zake zitakuwa vipi mpakani wakati anasema hakwenda Kenya?! Na kuna wakati nilikuuliza kama huyo jamaa wa Kenya alifunga pesa na docs zingine sehemu moja, kisha alipofika mpakani upande wa KE, hicho kifurushi alikirusha upande wa TZ alikokuwa Kubenea, ina maana hapo Kubenea atakuwa aliingia Kenya hadi mtake kukuta taarifa zake mpakani? Weka hapa maelezo ya hao watalaamu yanayothibitisha kwamba alilala kwenye hiyo hotel huko Kenya!Acha kufanya exaggeration... nimekuambia what kama hizo risiti alitaka ku-claim malipo kutoka kwa wabia wenzake?! Issue ni kwamba, kuwa na risiti HAKUTHIBITISHI kwamba alilala kwenye hotel husika, na kuna possibilities nyingi tu zinazoweza kumfanya awe na hiyo risiti lakini bila kulala hotel husika!!!
[/QUOTE]
Ubarikiwe sana kaka
 
Jamaa ni mjinga sana. Eti mtu umeingia kwa njia za panya Tanzania basi usikamatwe kwa vile ndio upo nyumbani, ndio hoja yake apo ilipoegemea.

Halafu aliponichokesha kudai kuwa eti ukiwa na shengen visa basi unatembea tu nchi zinazokubali hio visa, sasa nkajiuliza, huyu mtu anaelewa lakini anachozungumza? maana sijui kasoma wapi kama ukiwa na shengen visa basi unaweza kuingia nchi za watu bila kupitia border control. Nikamuuliza kama nkiwa na Visa ya USA halafu nkiingia USA bila kupitia border hawatonikamata? ndio nipo nasubiri majibu kutoka kwa "Mtaalamu" wa Immigration 😀 anaesema kuwa ukiwa na Shengen unazurura nchi unazotaka bila kupitia kwenye border za nchi husika.
Ungemuuliza kama ana hiyo visa kwanini apite kwenye njia za panya? Watu kama hawa hua wanashikwa na mapolisi kwa ujinga kama huu. Kosa unajifanya unajua sheria kumbe unaivunja yhalafu polisi wanakusimamisha kwa kosa jingine katika kukuhoji na mengine yanatokea. Wengi huisha huko kwa wenye schengen kwa njia kama hii.

Anachanganya free movement na kupita nje ya boarder control. Ukiwa na visa ya UK lazima upite mpakani waicheck kama hiyo visa ni ya kweli au la. Ameweka schengen akijua anaongea na watu wasioijua schengen visa ni nini. Hajui wengine tunaishi hukohuko.
 
Wapum.bavu mtaisoma namba mwaka huu, hakuna rangi hamtaiona, alitumwa kurekebisha pesa na mengineyo ya kampeni, jiiteni Chama Cha Wananchi tu kama Yanga ilivyohiita Timu ya Wananchi wakati ilipikuwa inategemea kutembeza bakuli kwa wananchi kujiendesha.

Mlipitishia kwa wale watetezi wenu wa haki za usho.ga wao wanaita haki za binadamu, accounts zikazuiwa na wakatangaza kusitisha shughuli zao nchini, huko nako mnakotegemea hakitapita kitu jipangeni, JPM anawaonesha ni jinsi gani yuko makini linapokuja swala la usalama wa Taifa, lakini pia kusimamia sheria, kanuni na taratibu.
Jpm yupi anayesimamia sheria kanuni na taratibu?
 
Back
Top Bottom