Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

Saed Kubenea atiwa mbaroni. Afikishwa Mahakamani kwa kuingia nchini kinyume na Sheria, utakatishaji fedha na kupelekwa rumande

Magufuli chsli yaani mchezo wao wa kipumbavu kabisa yote hiyo Kitila Mkumbo apite bila kupingwa
Kubenea hagombei Ubungo ni Kinondoni
Ubungo alikuwa JACOB kawekewa pingamizi na jamaa wa Act katolewa
 
Pamoja na kuwa alijitoa CHADEMA na kujiunga ACT-Wazalendo, hii isiwe sababu ya sisi wa upande wa upinzani kufurahia yaliyomkuta kwani safari ya kuelekea Oktoba 28 bado inaendelea.

La msingi kuliko yote ni kuwa,tusimuhumu ili hali hatujasikia chochote kutoka Kwake na tusiwe kama ni wageni katika nchi hii.

Subirini kuona hiyo kesi itavyoendeshwaa na zaidi hatima ya kesi yenyewe.

Tujipe muda
Umeongea busara tupu! Watawafanyia hata watu wetu! Tusiliunge mkono hili! Ni uonevu in a most likely scenario!
 
Hizi pesa hazikuwa za kubenea,sema yy alibeba tu mzigo ,roho inaniuma sana Ila kesi ni laini atashinda na fedha zitaenda kwa mwenyewe
 
Wakati mwingine mnajitoa ufahamu. Mtuhumiwa ameingia na kutoka nchini Kenya bila taarifa zake kuwapo mpakani. Ushahidi ni risiti ya Hotel aliyolala Nairobi, Memorandum of Understanding iliyosainiwa Nairobi na tiketi ya basi alilopanda toka Nairobi kwenda Namanga, unashangaa nini? maana yake Usafiri wake wa kwenda na kurudi ulikuwa ni wakuishia Namanga na kisha kuvuka kutumia njia za Panya, njia haramu.
Ndio maana wanataniwa kuwa ni nyumbu, hawaelewi vitu rahisi kama mada hii!
 
Wacha aisome namba mpuuzi sana huyu jamaa

Ametumika vya kutosha kipindi Cha utawala wa Kikwete na Mkapa kuchafua watu na kueneza propaganda.
technically , naomba nipishane kidogo na wewe rafiki yangu. Kwa utawala huu, si ajabu amebambikiwa mavitu kama ilivyo kawaida yao! Kesho watakuja kwako, mimi, yule etc! Maadam utawala huu umefitinika na kuwabambikia makesi ya kugushi, tusiamii lolote! We have to sympathise with him!
 
Tulitunga Sheria za nini sasa kama ndio hivyo?
Hapa ndipo ninapokuona wewe ni wakili kanjanja, inawezekana vipi umkamate raia wa Tanzania ndani ya Tanzania na halafu umshtaki kwa kuingia Tanzania isivyo rasmi? Are you mad?

Hivi huko CCM huwa mnavutishwa bangi gani ya kuwatowa akili?
[/Q
 
technically , naomba nipishane kidogo na wewe rafiki yangu. Kwa utawala huu, si ajabu amebambikiwa mavitu kama ilivyo kawaida yao! Kesho watakuja kwako, mimi, yule etc! Maadam utawala huu umefitinika na kuwabambikia makesi ya kugushi, tusiamii lolote! We have to sympathise with him!
Na wewe Fanya kama kubenea
 
Kwamba huyo Mkurugenz anaandika ya uongo?
"Ukweli" kama huu unawahusu nini wakenya? na kwanini kila siku ni Gado na Tanzania?
gado_22112018.jpg
 
Wacha tusikie upande wa pili Tanpol ni waongo zaidi ya shetani.
 
Hapa ndipo ninapokuona wewe ni wakili kanjanja, inawezekana vipi umkamate raia wa Tanzania ndani ya Tanzania na halafu umshtaki kwa kuingia Tanzania isivyo rasmi? Are you mad?

Hivi huko CCM huwa mnavutishwa bangi gani ya kuwatowa akili?
Hili ndilo swali nililokuwa najiuliza. Hapo polisi walipaswa wajiridhishe tu kama huko Kenya alienda kihalali kwa kukagua passport yake bass. Ila kwa upande wa uvushaji pesa hapo jamaa wamepata sababu though ni kiwango cha kawaida sana kusema ni ishu ya money loundering
 
Hili ndilo swali nililokuwa najiuliza. Hapo polisi walipaswa wajiridhishe tu kama huko Kenya alienda kihalali kwa kukagua passport yake bass. Ila kwa upande wa uvushaji pesa hapo jamaa wamepata sababu though ni kiwango cha kawaida sana kusema ni ishu ya money loundering

Kaa kimya, kina Tito Magoti wanaozea sello kwa kutakatisha laki saba tu!
 
Wacha aisome namba mpuuzi sana huyu jamaa

Ametumika vya kutosha kipindi Cha utawala wa Kikwete na Mkapa kuchafua watu na kueneza propaganda.
Hilo jamba linanifanya nimkimbuke muda wote na alitumika kweli kupiti gazeti lake kama Musiba wote sawa!
 
Back
Top Bottom