Saed Kubenea awaonya wabunge wanaoshinda mitandaoni wakiitukana Serikali

Huyu Kubenea ni kati ya watu ambao wananunuliwa na fedha. Mwaka 2006-7 alimwagiwa tindikali na watu anaowajua. Kisha wakampoza na fedha kidgo na kumlipia matibabu India. Tusimzingatie sana kwa vile Kubenea na Mbatia wana bei kama malaya wa Kimboka Bar pale Buguruni
 
Waliotia nia kugombea ubunge kupitia CHADEMA;

Jimbo la Ubungo waliojitokeza ni saba kati yao ni mbunge wa sasa, Saed Kubenea na Meya wa Ubungo, Boniface Jacob ambaye tayari ametangaza kutogombea udiwani alioutumikia kwa miaka kumi mfululizo.
 
Kumbe mtu akiacha kutukana serikali amenunuliwa na Mbatia?

Kumbe kutukana hovyo Twitter ni sifa hapo Ufipa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Huko twitter huwa wanatukana matusi gani, maana sisi wengine huwa tunaona ukweli tu. Hebu tutajie matusi kadhaa ili tujiridhishe.
 
..deal done nccr...tawi la lumumba!!
 
Elimu ya hapa Na pale, serikali ikifanya ya hovyo itakosolewa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…