Saed Kubenea awaonya wabunge wanaoshinda mitandaoni wakiitukana Serikali

Saed Kubenea awaonya wabunge wanaoshinda mitandaoni wakiitukana Serikali

Matusi ni mawazo tofauti tofauti ?

Tumia akili hata kidogo basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemtukana nani na nimemtukanaje. Tafadhali thibitisha, vinginevyo acha unafiki.

You cannot expect the people of a country as large as Tanzania to have identical opinions on different issues unless you've some mental derangement to which a professional psychiatrist can be of much help to you.
 
Nimemtukana nani na nimemtukanaje. Tafadhali thibitisha, vinginevyo acha unafiki.

You cannot expect the people of a country as large as Tanzania to have identical opinions on different issues unless you've some mental derangement to which a professional psychiatrist can be of much help to you.
Kwa hiyo Kubenea anawasingizia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Kubenea ni kati ya watu ambao wananunuliwa na fedha. Mwaka 2006-7 alimwagiwa tindikali na watu anaowajua. Kisha wakampoza na fedha kidgo na kumlipia matibabu India. Tusimzingatie sana kwa vile Kubenea na Mbatia wana bei kama malaya wa Kimboka Bar pale Buguruni

Na wewe una bei gani? Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kubenea amejitambua tangu akiwa mmilikii wa mwanahalisi newspapers,kwa hiyo sio size ya kina Heche hao kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ujinga sana kutaka mtu anayeitwa MPINZANI tena kikatiba aisifie Serikali. UPINZANI au OPPOSITION kazi Yao ni KU-OPPOSE. Yaani yupo bungeni na Uraiani KU-OPPOSE. Sasa mnatakaje MSIFIWE na OPOSER? Yaani katiba imempa haki ya kulipwa Mishahara na Posho kwa ku OPPOSE tu. Mkitaka asiwapinge FANYENI yote Yale YANAYOWAPASA kufanya.

Kazi ya ku OPPOSEE itafanyaka kwa kutumia ANY available PLATFORM. Sasa wakati wa serikali zilizopita angalau wazee wa ku OPPOSE walikuwa wanatumia RADIOS kwa kununua airtime, wanatumia MAGAZETI kama ya Kubenea ya MwanaHALISI, wanatumia mikutano ya Hadhara n.k. Sasa hivi hizo platforms HAZIPO. Iliyopo na ambayo haina gharama ni MTANDAO. Unataka OPOSER afanyeje?

Na ukumbuke huyu mtu ANALIPWA Posho na Mishahara kwa kazi ya KUPINGA tu sasa akiwa msifiaji si Mishahara itaenda bure? Hivi hamjui kuwa bungeni Kuna kiongozi wa kambi ya KUPINGA? Hamjui kuwa kiongozi wa kambi ya KUPINGA anapewa Gari, mafuta na gharama zingine za kiutendaji ANALIPWA kwa KODI zetu? Kumbe KUPINGA PINGA ni KAZI na FANI ambayo ni HALALI kabisa?

Tuje kwa KUBENEA. Kuanzia mwaka 2010 hadi 2015 na Kuja hapa miaka ya Karibuni huyu jamaa ametumia Magazeti yake, Mtandao wake wa MwanaHALISI Forums KUPINGA KUIKOSOA NA KUIKEJELI SERIKALI. Leo hii amekuwa na Maono saaaaaaana na Serikali kiasi cha kutaka iwe inasifiwa kila siku?

Mwisho : NAOMBA SERIKALI ITENGENEZE MSWADA UWEKWE BUNGENI UJADILIWE NA UPITISHWE KWAMBA TANZANIA IWE NCHI YA CHAMA KIMOJA NA KUHARAMISHA KILA AINA YA UPINZANI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyu ndiye Kubenea wanaccm tuliempinga sana na kusisitiza magazeti yake yafungwe na yasinunuliwe kabisa. Kweli kwa sasa CCM tumekosa makada wa kugombea.
 
Ni ujinga sana kutaka mtu anayeitwa MPINZANI tena kikatiba aisifie Serikali. UPINZANI au OPPOSITION kazi Yao ni KU-OPPOSE. Yaani yupo bungeni na Uraiani KU-OPPOSE. Sasa mnatakaje MSIFIWE na OPOSER? Yaani katiba imempa haki ya kulipwa Mishahara na Posho kwa ku OPPOSE tu. Mkitaka asiwapinge FANYENI yote Yale YANAYOWAPASA kufanya.

Kazi ya ku OPPOSEE itafanyaka kwa kutumia ANY available PLATFORM. Sasa wakati wa serikali zilizopita angalau wazee wa ku OPPOSE walikuwa wanatumia RADIOS kwa kununua airtime, wanatumia MAGAZETI kama ya Kubenea ya MwanaHALISI, wanatumia mikutano ya Hadhara n.k. Sasa hivi hizo platforms HAZIPO. Iliyopo na ambayo haina gharama ni MTANDAO. Unataka OPOSER afanyeje?

Na ukumbuke huyu mtu ANALIPWA Posho na Mishahara kwa kazi ya KUPINGA tu sasa akiwa msifiaji si Mishahara itaenda bure? Hivi hamjui kuwa bungeni Kuna kiongozi wa kambi ya KUPINGA? Hamjui kuwa kiongozi wa kambi ya KUPINGA anapewa Gari, mafuta na gharama zingine za kiutendaji ANALIPWA kwa KODI zetu? Kumbe KUPINGA PINGA ni KAZI na FANI ambayo ni HALALI kabisa?

Tuje kwa KUBENEA. Kuanzia mwaka 2010 hadi 2015 na Kuja hapa miaka ya Karibuni huyu jamaa ametumia Magazeti yake, Mtandao wake wa MwanaHALISI Forums KUPINGA KUIKOSOA NA KUIKEJELI SERIKALI. Leo hii amekuwa na Maono saaaaaaana na Serikali kiasi cha kutaka iwe inasifiwa kila siku?

Mwisho : NAOMBA SERIKALI ITENGENEZE MSWADA UWEKWE BUNGENI UJADILIWE NA UPITISHWE KWAMBA TANZANIA IWE NCHI YA CHAMA KIMOJA NA KUHARAMISHA KILA AINA YA UPINZANI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Analipwa kwa ku oppose mambo ya kijinga na ufisadi ,siyo kupinga hata ujenzi wa hospitali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom