Saed Kubenea awaonya wabunge wanaoshinda mitandaoni wakiitukana Serikali

Saed Kubenea awaonya wabunge wanaoshinda mitandaoni wakiitukana Serikali

Yale magazeti yake ambayo yuko share na mume mwenzake Calist komu ......Mwanahalisi na mengine yaliyokuwa yamefungiwa yatafunguliwa lini ....maana yalikuwaga mwiba kwa serikali
 
Amani iwe nanyi.

Leo wakati akichangia bajeti bungeni mbunge wa Ubungo kupitia chama cha democrasia na maendeleo (Chadema) Saed Kubenea amewaonya wote wanaoitukana serikali na kuwataka watambue dhamana kubwa walizopewa na wananchi za kuwa wabunge.

Saed Kubenea ametolea mfano kuna baadhi ya wabunge wanashinda Twitter wakibeza na kutukana hovyo serikali huku wakisahau kuwa wabunge hao wamepewa heshima kubwa na wananchi ya kuwa bungeni kuishauri na kuiunga mkono serikali.

My take .

Kwa hili pamoja na kwamba elimu ya Saed Kubenea ni ya hapa na pale lakini anaonekana ana akili nyingi mno na maarifa kuwazidi wabunge wengi wa chadema ambao badala ya kushinda majimboni wakitimiza ahadi zao ,badala yake wamegeuza Twitter ndiyo majimbo yao ya kuvurumishia matusi na kutetea mafisadi na mabeberu kama ile sinema ya tutashitakiwa MIGA.



Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa anamsema Tundu, Msigwa na Zitto. Kumbe jamaa anafunga vilago!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani iwe nanyi.

Leo wakati akichangia bajeti bungeni mbunge wa Ubungo kupitia chama cha democrasia na maendeleo (Chadema) Saed Kubenea amewaonya wote wanaoitukana serikali na kuwataka watambue dhamana kubwa walizopewa na wananchi za kuwa wabunge.

Saed Kubenea ametolea mfano kuna baadhi ya wabunge wanashinda Twitter wakibeza na kutukana hovyo serikali huku wakisahau kuwa wabunge hao wamepewa heshima kubwa na wananchi ya kuwa bungeni kuishauri na kuiunga mkono serikali.

My take .

Kwa hili pamoja na kwamba elimu ya Saed Kubenea ni ya hapa na pale lakini anaonekana ana akili nyingi mno na maarifa kuwazidi wabunge wengi wa chadema ambao badala ya kushinda majimboni wakitimiza ahadi zao ,badala yake wamegeuza Twitter ndiyo majimbo yao ya kuvurumishia matusi na kutetea mafisadi na mabeberu kama ile sinema ya tutashitakiwa MIGA.



Sent using Jamii Forums mobile app

Na wewe unaonekana elimu yako ni ya "hapa na pale", kuunga mkono serikali si miongoni mwa kazi za mbunge! ihimize serikali ya CCM iboreshe elimu ya MEMKWA!
 
Amani iwe nanyi.

Saed Kubenea ametolea mfano kuna baadhi ya wabunge wanashinda Twitter wakibeza na kutukana hovyo serikali huku wakisahau kuwa wabunge hao wamepewa heshima kubwa na wananchi ya kuwa bungeni kuishauri na kuiunga mkono serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo na wewe unaamini kuwa kazi ya wabunge wa upinzani ni kuiunga mkono serikali?
 
Amesahau alivyokuwa anatumia kigazeti chake kuitukana serikali
 
Tatizo la watu wenye fikra finyu ni kufikiri kuna siku watu watakuwa kama misukule basi woote waiunge tu mkono serikali, hiyo siku haitakaa ifike.

Watu wana mawazo tofauti tofauti ndio uumbwaji ulivyofanya. Wale madikteta wanapotaka watu wawasujudie hua wanapingana na nature, waga wanajidanganya tu na kujipotezea muda.
 
Tatizo la watu wenye fikra finyu ni kufikiri kuna siku watu watakuwa kama misukule basi woote waiunge tu mkono serikali, hiyo siku haitakaa ifike.

Watu wana mawazo tofauti tofauti ndio uumbwaji ulivyofanya. Wale madikteta wanapotaka watu wawasujudie hua wanapingana na nature, waga wanajidanganya tu na kujipotezea muda.
Matusi ni mawazo tofauti tofauti ?

Tumia akili hata kidogo basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huyu ni Mpinzani au Msifiaji AKA Cheer Leader....,

Kuwe na Nafasi ya Chama Cha Wasifiaji Pia...
 
Back
Top Bottom