Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachozungumzwa ni matusi ,hamna aliyezuia kukosoaElimu ya hapa Na pale, serikali ikifanya ya hovyo itakosolewa tu.
Mfano wa tusi ni kuita serikali Nyumbu.Weka ushahidi wa hayo matusi. Mkikosolewa mnaita matusi au uchochezi, kumaliza huu ubishi tuwekee majina ya hao waliotukana na matusi waliyotukana. Tumechoka na huu ukasuku wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa anamsema Tundu, Msigwa na Zitto. Kumbe jamaa anafunga vilago!!Amani iwe nanyi.
Leo wakati akichangia bajeti bungeni mbunge wa Ubungo kupitia chama cha democrasia na maendeleo (Chadema) Saed Kubenea amewaonya wote wanaoitukana serikali na kuwataka watambue dhamana kubwa walizopewa na wananchi za kuwa wabunge.
Saed Kubenea ametolea mfano kuna baadhi ya wabunge wanashinda Twitter wakibeza na kutukana hovyo serikali huku wakisahau kuwa wabunge hao wamepewa heshima kubwa na wananchi ya kuwa bungeni kuishauri na kuiunga mkono serikali.
My take .
Kwa hili pamoja na kwamba elimu ya Saed Kubenea ni ya hapa na pale lakini anaonekana ana akili nyingi mno na maarifa kuwazidi wabunge wengi wa chadema ambao badala ya kushinda majimboni wakitimiza ahadi zao ,badala yake wamegeuza Twitter ndiyo majimbo yao ya kuvurumishia matusi na kutetea mafisadi na mabeberu kama ile sinema ya tutashitakiwa MIGA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sera kuu ya ilani ya chama cha wachaga ni matusi mkuu.Kumbe mtu akiacha kutukana serikali amenunuliwa na Mbatia?
Kumbe kutukana hovyo Twitter ni sifa hapo Ufipa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi gani, huyu mzee Wa hapa Na pale anapotea.
Amani iwe nanyi.
Leo wakati akichangia bajeti bungeni mbunge wa Ubungo kupitia chama cha democrasia na maendeleo (Chadema) Saed Kubenea amewaonya wote wanaoitukana serikali na kuwataka watambue dhamana kubwa walizopewa na wananchi za kuwa wabunge.
Saed Kubenea ametolea mfano kuna baadhi ya wabunge wanashinda Twitter wakibeza na kutukana hovyo serikali huku wakisahau kuwa wabunge hao wamepewa heshima kubwa na wananchi ya kuwa bungeni kuishauri na kuiunga mkono serikali.
My take .
Kwa hili pamoja na kwamba elimu ya Saed Kubenea ni ya hapa na pale lakini anaonekana ana akili nyingi mno na maarifa kuwazidi wabunge wengi wa chadema ambao badala ya kushinda majimboni wakitimiza ahadi zao ,badala yake wamegeuza Twitter ndiyo majimbo yao ya kuvurumishia matusi na kutetea mafisadi na mabeberu kama ile sinema ya tutashitakiwa MIGA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo na wewe unaamini kuwa kazi ya wabunge wa upinzani ni kuiunga mkono serikali?Amani iwe nanyi.
Saed Kubenea ametolea mfano kuna baadhi ya wabunge wanashinda Twitter wakibeza na kutukana hovyo serikali huku wakisahau kuwa wabunge hao wamepewa heshima kubwa na wananchi ya kuwa bungeni kuishauri na kuiunga mkono serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini usiiunge mkono wakati inakulipa mshahara?Kwa hiyo na wewe unaamini kuwa kazi ya wabunge wa upinzani ni kuiunga mkono serikali?
Kwa hiyo kazi ya mbunge ni kutukana serikali?Na wewe unaonekana elimu yako ni ya "hapa na pale", kuunga mkono serikali si miongoni mwa kazi za mbunge! ihimize serikali ya CCM iboreshe elimu ya MEMKWA!
Matusi ni mawazo tofauti tofauti ?Tatizo la watu wenye fikra finyu ni kufikiri kuna siku watu watakuwa kama misukule basi woote waiunge tu mkono serikali, hiyo siku haitakaa ifike.
Watu wana mawazo tofauti tofauti ndio uumbwaji ulivyofanya. Wale madikteta wanapotaka watu wawasujudie hua wanapingana na nature, waga wanajidanganya tu na kujipotezea muda.
Sifa ya kuwa mpinzani ni matusi?Hivi huyu ni Mpinzani au Msifiaji AKA Cheer Leader....,
Kuwe na Nafasi ya Chama Cha Wasifiaji Pia...