Safari hii Law School wafaulu 23 tu!

Safari hii Law School wafaulu 23 tu!

Kwahio hapo walimu wanachekelea?wanasababisha upungufu wa wasaidizi wa kisheria tu huku mitaani
Kama wamefeli kihalali mimi sioni shida.,

Ila kama kuna watu walipenyeza rushwa ili watu wapite basi hapo kuna tatizo.

Mambo ya kuongezeana marks eti kisa watu wamefeli ni upuuzi sijawahi kuukubali.

Elimu yetu ilitakiwa kuwa na standard km ya hao jamaa.
 
Kama wamefeli kihalali mimi sioni shida.,

Ila kama kuna watu walipenyeza rushwa ili watu wapite basi hapo kuna tatizo.

Mambo ya kuongezeana marks eti kisa watu wamefeli ni upuuzi sijawahi kuukubali.

Elimu yetu ilitakiwa kuwa na standard km ya hao jamaa.
Kutwa nzima unashinda WhatsApp na Instagram utasoma sangapi
 
Na wapo 800 na kitu au sijaelewa🤔🤔
Screenshot_20230425-192450.png
 
View attachment 2599573

Kati ya wanafunzi waliohitimu Shahada ya Juu ya Elimu ya Sheria kwa Vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) waliofaulu (first sitting) ni 23, ambapo wanaopaswa kurudia baadhi wa mitihani (Sup) ni 498 na wanaopaswa kurudia mafunzo hayo (Disco) ni 360!

Tofauti ya ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu kwa walioweza kupita kwa mara ya kwanza ni moja tu, ambapo mwaka jana walifaulu 22!

Hali ilivyokuwa mwaka jana - Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!
Aahaaaaaa

Maprofesa wanajiona wamewakomoa wahitimu
 
Kiukweli shule zote zilitakiwa kuwa hivi...

Vilio vya ajira visingekuwepo. Nowadays elimu haina thamani sababu kila mtu amesoma na kugraduate.
Umeona mbali sana yaani mzee watu vyuoni kazi kucopy na kupaste assignment bado wananunua mitihani yaani ni balaa kabisa.

Ndo maana wasomi hwajiamini kwa kweli.
 
View attachment 2599573

Kati ya wanafunzi waliohitimu Shahada ya Juu ya Elimu ya Sheria kwa Vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) waliofaulu (first sitting) ni 23, ambapo wanaopaswa kurudia baadhi wa mitihani (Sup) ni 498 na wanaopaswa kurudia mafunzo hayo (Disco) ni 360!

Tofauti ya ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu kwa walioweza kupita kwa mara ya kwanza ni moja tu, ambapo mwaka jana walifaulu 22!

Hali ilivyokuwa mwaka jana - Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!
Kwa hiyo ulidhani wangefaulu wengi wakati kiuhalisia hawajafaulu?
 
View attachment 2599573

Kati ya wanafunzi waliohitimu Shahada ya Juu ya Elimu ya Sheria kwa Vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) waliofaulu (first sitting) ni 23, ambapo wanaopaswa kurudia baadhi wa mitihani (Sup) ni 498 na wanaopaswa kurudia mafunzo hayo (Disco) ni 360!

Tofauti ya ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu kwa walioweza kupita kwa mara ya kwanza ni moja tu, ambapo mwaka jana walifaulu 22!

Hali ilivyokuwa mwaka jana - Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!
Kwa hiyo kiingereza ni shida siyo eeee?!!!!

Sorry for them[emoji120]

My take:

Wadogo zetu mnaosoma sheria na ambao mko mwaka wa 1 hebu jitahidini haya ninayowaambia:-

LEGAL MAXIMS....

Huwezi kuwa "lawyer" mzuri bila kujua KIINGEREZA...hususani JAGGONS....tafuteni DICTIONARY ya "legal maxims"....nyingi ziko kwa kilatini ila kwa ninyi ni bora mkazipata zenye "English translations".....waambieni na wenzenu hili.....BUMU la BOOKS & STATIONERY japo dogo ila mnapata bwanaa... jisukumeni na jiongezeni hivyohivyo.....WAAMBIENI NA WENZENU WASIOKUWA HAPA[emoji1666]

Unasomaje LEGAL MAXIMS?!!!

Enheeee hivi mmeshawahi kuwaona wale watoto wa shule ya elimu ya dini ya kiislam?!!!

MADRASA MADRASA MADRASA

Hapa nisikilizeni....hawa watoto huwa wanarudiarudia kukariri maneno ya kiarabu....unaweza ukaona kama mfumo wa ajabu ili UBONGO unase vitu ni lazima UVIRUDIERUDIE ukiuhusisha wenyewe ,moyo wako(tranquility) na midomo......waigeni hawa watoto na muwe kama machizi vile [emoji1787][emoji1787]

Mathalani kwa mnaosoma chuo kikuu Mlimani unaweza kuweka ratiba na kutembea kutoka hapo hosteli zenu mpaka kimara ukiweka ratiba ya kurudia JAGGONS 5 na maana zake kwa wiki mara 3 hiviii....mkijizoeza hivi kwa miaka 4 mtatisha kama njaa....yaani mtakuwa kama wale vijana wa "CAMBRIDGE & HARVARD SCHOOL OF LAWS".

Kusoma masomo haya haihitajiki utani,ublazameni &usisteri uliopitiliza bali inahitaji uusukume "ukuta na uuangushe"[emoji1787]

1)Medicine
2)Law
3) Engineering

Allah Yehova Yahweh awatangulie ,aaamin aaamin[emoji120]

#YetzerHatov
#DoNotDoHarm

#SiempreJMT[emoji7]
#MamaHuyooooKaja[emoji2956]


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo kiingereza ni shida siyo eeee?!!!!

Sorry for them[emoji120]

My take:

Wadogo zetu mnaosoma sheria na ambao mko mwaka wa 1 hebu jitahidini haya ninayowaambia:-

LEGAL MAXIMS....

Huwezi kuwa "lawyer" mzuri bila kujua KIINGEREZA...hususani JAGGONS....tafuteni DICTIONARY ya "legal maxims"....nyingi ziko kwa kilatini ila kwa ninyi ni bora mkazipata zenye "English translations".....waambieni na wenzenu hili.....BUMU la BOOKS & STATIONERY japo ndogo ila mnapata... jisukumeni na jiongezeni hivyohivyo.....WAAMBIENI NA WENZENU WASIOKUWA HAPA[emoji1666]

Unasomaje LEGAL MAXIMS?!!!

Enheeee hivi mmeshawahi kuwaona wale watoto wa shule ya elimu ya dini ya kiislam?!!!

MADRASA MADRASA MADRASA

Hapa nisikilizeni....hawa watoto huwa wanarudiarudia kukariri maneno ya kiarabu....unaweza ukaona kama mfumo wa ajabu ila UBONGO unase vitu ni lazima UVIRUDIERUDIE ukiuhusisha wenyewe ,moyo wako(tranquility) na midomo......waigeni hawa watoto na mume kama chizi vile [emoji1787][emoji1787]

Mathalani kwa mnaosoma chuo kikuu Mlimani unaweza kuweka ratiba na kutembea kutoka hapo hosteli zenu mpaka kimara ukiweka ratiba ya kurudia JAGGONS 5 na maana zake....mkijizoeza hivi kwa miaka 4 mtatisha kama njaa....yaani mtakuwa kama wale vijana wa "CAMBRIDGE & HARVARD SCHOOL OF LAWS".

Kusoma masomo haya haihitajiki utani bali inahitaji uusukume "ukuta na uuanguke"[emoji1787]

1)Medicine
2)Law
3) Engineering

Allah Yehova Yahweh awatangulie ,aaamin aaamin[emoji120]

#YetzerHatov
#DoNotDoHarm

#SiempreJMT[emoji7]
#MamaHuyooooKaja[emoji2956]


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ushauri mzuri sana .
 
Kingereza wanachoongea vijana wetu siku hizi hata hao 23 wamejitahidi.tatizo lilikuja pale kiongozi mkubwa aliposhindwa kuongea kingereza na kuanza kiponda eti elimu sio kingereza.eti mbona wachina hawajui kingereza.kama mfumo mzima wa elimu sekondari hadi university ni kingereza iweje rais aibeze hiyo lugha.jamaa likaenda mbali zaidi likawapa zawadi majaji wanaoendesha kesi kwa kiswahili,[emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Ila sikuhizi wanafunzi nao wazito mno niliamgalia jinsi mwanasheria lugha yake aliyotumia na kuandaa mashtaka nilichoka, kingereza kibovu mashtaka hayaeleweki na hapo kaajiriwa na serikalini nikasema ndio maana law school Huwa wanafeli Hawa Kwa ukilaza wao
Kule NBAA huwa hatulalamiki toka enzi.
 
View attachment 2599573

Kati ya wanafunzi waliohitimu Shahada ya Juu ya Elimu ya Sheria kwa Vitendo kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST) waliofaulu (first sitting) ni 23, ambapo wanaopaswa kurudia baadhi wa mitihani (Sup) ni 498 na wanaopaswa kurudia mafunzo hayo (Disco) ni 360!

Tofauti ya ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu kwa walioweza kupita kwa mara ya kwanza ni moja tu, ambapo mwaka jana walifaulu 22!

Hali ilivyokuwa mwaka jana - Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!
Hawa 23 ukiwauliza toka wameingia hawajakosa darasa wala kipindi, huwezi kukuta wameshikana viuno na wenza, huwezi kuwakuta Wavuvi camp wala LaChaz maeneo ya sinza, huwezi kukuta wanapigana miti kwenye magari kule parking kama wengine:
Hawa waloo disco, 300 waende vijijini serikali yetu pendwa itawapa mashamba-Hakuna ajira wasinganganie kurudia mitihani-wafanye mengine.
Walimkataa Chuwa na walimu wengine, masomo yamepunguzwa na sasa wana mitihani ya sekondari yaani maswali ya kuchagua.
Wanaendekeza ngono[si wote-baadhi] badala ya masomo.
Watoto someni, yaani unatooka zako Chato huko ndio kwanza unatua Dar na ubishoo wako lazma ukae tu.
UWAKILI SI MA-**** KI
lst.jpeg
LA MTU AWE NAYO.lst.jpeg
 
Back
Top Bottom