Kwa hiyo kiingereza ni shida siyo eeee?!!!!
Sorry for them[emoji120]
My take:
Wadogo zetu mnaosoma sheria na ambao mko mwaka wa 1 hebu jitahidini haya ninayowaambia:-
LEGAL MAXIMS....
Huwezi kuwa "lawyer" mzuri bila kujua KIINGEREZA...hususani JAGGONS....tafuteni DICTIONARY ya "legal maxims"....nyingi ziko kwa kilatini ila kwa ninyi ni bora mkazipata zenye "English translations".....waambieni na wenzenu hili.....BUMU la BOOKS & STATIONERY japo dogo ila mnapata bwanaa... jisukumeni na jiongezeni hivyohivyo.....WAAMBIENI NA WENZENU WASIOKUWA HAPA[emoji1666]
Unasomaje LEGAL MAXIMS?!!!
Enheeee hivi mmeshawahi kuwaona wale watoto wa shule ya elimu ya dini ya kiislam?!!!
MADRASA MADRASA MADRASA
Hapa nisikilizeni....hawa watoto huwa wanarudiarudia kukariri maneno ya kiarabu....unaweza ukaona kama mfumo wa ajabu ili UBONGO unase vitu ni lazima UVIRUDIERUDIE ukiuhusisha wenyewe ,moyo wako(tranquility) na midomo......waigeni hawa watoto na muwe kama machizi vile [emoji1787][emoji1787]
Mathalani kwa mnaosoma chuo kikuu Mlimani unaweza kuweka ratiba na kutembea kutoka hapo hosteli zenu mpaka kimara ukiweka ratiba ya kurudia JAGGONS 5 na maana zake kwa wiki mara 3 hiviii....mkijizoeza hivi kwa miaka 4 mtatisha kama njaa....yaani mtakuwa kama wale vijana wa "CAMBRIDGE & HARVARD SCHOOL OF LAWS".
Kusoma masomo haya haihitajiki utani,ublazameni &usisteri uliopitiliza bali inahitaji uusukume "ukuta na uuangushe"[emoji1787]
1)Medicine
2)Law
3) Engineering
Allah Yehova Yahweh awatangulie ,aaamin aaamin[emoji120]
#YetzerHatov
#DoNotDoHarm
#SiempreJMT[emoji7]
#MamaHuyooooKaja[emoji2956]
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app