Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kumbuka hawa graduate wa Sasa ndio wale kipindi ya Magu walikuwa wanafaulishwa , yaani they got what they deservesKule NBAA huwa hatulalamiki toka enzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka hawa graduate wa Sasa ndio wale kipindi ya Magu walikuwa wanafaulishwa , yaani they got what they deservesKule NBAA huwa hatulalamiki toka enzi.
bado hao 23 ni wengi, walau kila mwaka watoke mawakili 10, alafu hapo hapo watoe ajira ya mahakimu uwe umepita law school mwaka huu huu. Watu wengine wanalazimishia uwakili ila wito wao ni kuwa mashehe na mapadri.Safi.....huo mchujo wa maana
Ova
800 ndio idadi ya waliofanya mtihani.Na wapo 800 na kitu au sijaelewa🤔🤔
View attachment 2599611
They got what they deserves!!!Kumbuka hawa graduate wa Sasa ndio wale kipindi ya Magu walikuwa wanafaulishwa , yaani they got what they deserves
Kaka data, si kwa Sheria tu, ni field zote, yani kama una kampuni yako kuajiri products za 2015 mpaka 2020 ni majanga, rest assured kiwango cha elimu kilishuka sana na cha kufanya ni kuangalia uwezo si vyeti wala interview maana kuna watu wanakariri lakini wakija field ndio hao kama yule mbunge mwanashria anashauri serikali iongeze shilingi 100 kwenye mafuta kwa watu wa Dar kuchangia Barabara[alisoma law school na alikuwa kwenye kundi la watu wanao sup kila mara]Sasa unashangaa nini....
Hizo ndo madhara za siasa .
Product za BRN hizo na madivision ya kugawa hovyo..
Uwezo wao mdogo. Over.
Ni hatari mnoo...ni hatariiKaka data, si kwa Sheria tu, ni field zote, yani kama una kampuni yako kuajiri products za 2015 mpaka 2020 ni majanga,
Kwanini iliundwaHaikuundwa ili kusaidia kufaulisha waliofeli
iliundwa, baadhi ya ma lecture wakaondoshwa, kumbe tatizo ni wanafunziKwanini iliundwa
Hayo matokeo ni sahihi kabisa. Watu 700 plus wanataka kuwa mawakili ndani ya mwaka soko gani litawabsorb mtaani?! Kama siyo ghasia ni nini? Kuna advocates, legal solicitors, legal officers ete etc. Siyo kila moja afanye bar examduh aiseeee. Tatizo hapo ni English na mafunzo zaidi kipindi chote cha degree. Wengi wanakaririshwa tu
Hayo matokeo ni sahihi kabisa. Watu 700 plus wanataka kuwa mawakili ndani ya mwaka soko gani litawabsorb mtaani?! Kama siyo ghasia ni nini? Kuna advocates, legal solicitors, legal officers ete etc. Siyo kila moja afanye bar exam
Mkuu ii nayo ni idea nzur.Ningeomba kuwe na paper ya mchujo kama huu kwenye kila fani hapa nchini