Safari hii Law School wafaulu 23 tu!



Yaani mtu ka-graduate university (chuo kikuu) halafu anakuja kufeli (at school) shuleni ??๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 

Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe:

Wanafunzi Law School kulikoni kushindwa kujisimamia
 
Wamejitahidi sana aisee. Mwaka 2021 law school ya Zambia ilifaulisha mwanafunzi mmoja kati ya 495 waliofanya mtihani.
 
SHULE BORA KABISA HATUTAKI UJANJA UJANJA WA VYUONI
UTULETEE MAWAKILI FAKE
 
Mwaka jana 2022 - wafaulu 22
Mwaka huu 2023 - wafaulu 23
Mwakani 2024 - wafaulu ....
 
Tatizo sio wanafunzi. Kama ni mzito hakustahili kupokewa na kuruhusiwa kufanya mtihani. Inaelekea wanafunzi ni mtaji wa hiyo shule hivyo wanapokewa wengi iwezekanavyo bila kuangalia uwezo wao. Kama hawajui kiingereza wamewezaje kupasi masomo ya Law School mpaka wafikie hatua ya kufanya mtihani? Tatizo liko Law School na si kwengine. Na unaweza kukuta wanaona sifa wanafunzi wengi wanapofeli badala ya kuona aibu kuwa hawajawatayarisha vizuri.

Amandla...
 
Tatizo jingine elimu ya sasa imekuwa ya mwendokasi toka shule ya msingi, na hii ni kutokana na serikali kuitelekeza elimu ya umma na kuacha elimu bora itolewe na shule binafsi. Watoto wa wanyonge ambao wazazi wao hawana uwezo wa kuwalipia private wanajikuta wameangukia kwenye shule za serikali ambako elimu kwa sasa inatolewa kwa kiwango duni kulinganisha na awamu za mwanzoni, enzi za Nyerere, Mwinyi na Mkapa na hata Kikwete. Awamu ya tano na ya sita imekuja kuizika elimu ya umma......kwa hiyo matokeo ya law school yana reflect ubora duni wa elimu tokea huku chini kwenye elimu ya msingi na sekondari, THINK BIG!!​
 
practical kwa kawaida mtu hapaswi kufeli!! Tatizo law school hawafanyi practical japo ilipaswa kuwa practical! Wanapigwa mitihani ya theory as if wako chuoni wakiiga digrii!! Huu ni uharibifu mkubwa!
 
practical kwa kawaida mtu hapaswi kufeli!! Tatizo law school hawafanyi practical japo ilipaswa kuwa practical! Wanapigwa mitihani ya theory as if wako chuoni wakiiga digrii!! Huu ni uharibifu mkubwa!
Utamudu vipi practical bila kujua theory?

Amandla...
 
Now medicine na engineer imekua soft na Kuna wahitimu vilaza kibao
 
Hao 23 wengi watakua wanatoka SAUT mwanza na TUDARCO Kwa mbali UDSM na Mzumbe.......

Alisikika advocate mmoja from High Court
๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค“๐Ÿค“

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ