Safari hii Law School wafaulu 23 tu!

Bodi ya madaktari nao wameona ulaji ni kwenye kuwatungia mitihani migumu madaktari tarajali!! wamelia sana hadi kumlilia mama!! Wakati wengine huwa na mtihani mmoja tu, wao wana miwili: 1, Pre internship examination na post internship examination. Ukifele pre internship exam huruhusiwi kwenda internship!! Ukifele post internship exam hupewi leseni ya ku-practice udakltari!! Zaidi ya nusu wako mitaani hawawezi ku-practice pamoja na kusota miaka 6 wakisomea!!
 

Nchi ngumu sana hii. Ma Daktari wenyewe ni kama Hawa:

Your browser is not able to display this video.
 
Mm nilipata div 3 mwaka 2000 .ila leo nikikaa na aliepata div 1.8 yaani ni kilaza kabisa mpaka najiuliza kuna nini skuiz.hata kujieleza hawezi .kwenye interview ni vituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…