Safari hii mpaka Odinga anaonekana ni bure kwa gen-z

Safari hii mpaka Odinga anaonekana ni bure kwa gen-z

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
odinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya:
Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera mbovu. Ruto pia anaweza kusema ' nimechoka, wacha majenerali wa kijeshi wachukue madaraka. Kisha nchi huanza kupitia kile Misri ilipitia baada ya Tahrir Square. Msemo au msimamo wa ‘'Ruto lazima aondoke'’ haiwezi kuwa mwisho wa matatizo ya wakenya. Ni wakati wa shida kama huu ambapo nchi inahitaji kuzungumza. Hatufanyi hivyo ili kumwokoa Ruto. Tunafanya hivyo kuokoa Kenya.
GSv_6GnakAANHyb.jpg
 
ulitaka mageuzi yaje kwa mkeo.tulia ujue mageuzi hata USA wamepigana vita ambavyo ujawai kusimuliwa ndio umeliona ilo taifa kuwa dream country
sure mkuu
mageuzi hayaji kijinga
hata kenya washapigana sana, angalau wana kanidham ka kinafiki, askari hawafanyi ujinga waziwazi
sisi wacha tuendelee na akina nape
 
odinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya:
Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera mbovu. Ruto pia anaweza kusema ' nimechoka, wacha majenerali wa kijeshi wachukue madaraka. Kisha nchi huanza kupitia kile Misri ilipitia baada ya Tahrir Square. Msemo au msimamo wa ‘'Ruto lazima aondoke'’ haiwezi kuwa mwisho wa matatizo ya wakenya. Ni wakati wa shida kama huu ambapo nchi inahitaji kuzungumza. Hatufanyi hivyo ili kumwokoa Ruto. Tunafanya hivyo kuokoa Kenya.
View attachment 3045420
wamsikilize so what
nawaunga mkono gen z
tupo nao hapa tarime tunwachochea
 
Odinga na Genzies lao ni moja. Sema amekimbilia kwa Ruto ili kuuficha mkono wake kwenye maandamano. Wazungu wanalivuruga sana Bara Afrika.
 
Raila ni wivu tu,alitegemea Ruto akitoka apendekezwe yeye badala yake anaoendekezwa gachagua,
raila atakufa bila kuwa rais
 
Mzee Raila at the crossroad.
Hapa inatakiwa bongo iliochangamka.
Yeye alianzisha kampeini kwa maadamano mara baada ya uchaguzi mkuu kupinga utawala wa Raisi Ruto bila mafanikio.
Lakini Gen Z wao wamefanikiwa zaidi hata kuisimamisha nchi ya Kenya. Tena hawahitaji old guards wa kuwasemea,wanasema muda wa wakongwe wanasiasa umeisha.

Wameenda mbele zaidi kupinga unyonyaji wa multinational corporations, wamepinga kuwepo World Bank,IMF Kenya.
Kwa ufupi hawataki Ncni ya Kenya kugeuzwa kibaraka wa nchi za Magharibi hasa Marekani.
 
odinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya:
Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera mbovu. Ruto pia anaweza kusema ' nimechoka, wacha majenerali wa kijeshi wachukue madaraka. Kisha nchi huanza kupitia kile Misri ilipitia baada ya Tahrir Square. Msemo au msimamo wa ‘'Ruto lazima aondoke'’ haiwezi kuwa mwisho wa matatizo ya wakenya. Ni wakati wa shida kama huu ambapo nchi inahitaji kuzungumza. Hatufanyi hivyo ili kumwokoa Ruto. Tunafanya hivyo kuokoa Kenya.
View attachment 3045420
Gen Z sio chama Cha siasa so hawawezi sikiliza Wanasiasa
 
odinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya:
Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera mbovu. Ruto pia anaweza kusema ' nimechoka, wacha majenerali wa kijeshi wachukue madaraka. Kisha nchi huanza kupitia kile Misri ilipitia baada ya Tahrir Square. Msemo au msimamo wa ‘'Ruto lazima aondoke'’ haiwezi kuwa mwisho wa matatizo ya wakenya. Ni wakati wa shida kama huu ambapo nchi inahitaji kuzungumza. Hatufanyi hivyo ili kumwokoa Ruto. Tunafanya hivyo kuokoa Kenya.
View attachment 3045420
Hyo mzee ni dalali
 
tu kwasababu wanajitambua huku kwetu kuna misukule inataka hata mitandao ifungwe. yaan wazungu wanasumbuka kurahisha dunia mjinga mmoja hapo lumumba anataka tweeter ifungiwe. shame on you uvccm
Tanzania na Kenya Hali zinatofautiana,sio kwamba vijana watanzania ni wajinga.
 
Back
Top Bottom