Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
ulitaka mageuzi yaje kwa mkeo.tulia ujue mageuzi hata USA wamepigana vita ambavyo ujawai kusimuliwa ndio umeliona ilo taifa kuwa dream countryGen Z hawaitakii mema kenya, wanataka vita na Ruto akistepout tayari itakua utamaduni wa kuvuruga uongozi
sure mkuuulitaka mageuzi yaje kwa mkeo.tulia ujue mageuzi hata USA wamepigana vita ambavyo ujawai kusimuliwa ndio umeliona ilo taifa kuwa dream country
wamsikilize so whatodinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya:
Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera mbovu. Ruto pia anaweza kusema ' nimechoka, wacha majenerali wa kijeshi wachukue madaraka. Kisha nchi huanza kupitia kile Misri ilipitia baada ya Tahrir Square. Msemo au msimamo wa ‘'Ruto lazima aondoke'’ haiwezi kuwa mwisho wa matatizo ya wakenya. Ni wakati wa shida kama huu ambapo nchi inahitaji kuzungumza. Hatufanyi hivyo ili kumwokoa Ruto. Tunafanya hivyo kuokoa Kenya.
View attachment 3045420
Gen Z sio chama Cha siasa so hawawezi sikiliza Wanasiasaodinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya:
Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera mbovu. Ruto pia anaweza kusema ' nimechoka, wacha majenerali wa kijeshi wachukue madaraka. Kisha nchi huanza kupitia kile Misri ilipitia baada ya Tahrir Square. Msemo au msimamo wa ‘'Ruto lazima aondoke'’ haiwezi kuwa mwisho wa matatizo ya wakenya. Ni wakati wa shida kama huu ambapo nchi inahitaji kuzungumza. Hatufanyi hivyo ili kumwokoa Ruto. Tunafanya hivyo kuokoa Kenya.
View attachment 3045420
Hyo mzee ni dalaliodinga alikuwa anasikilizwa sana ila inaonekana hana la maana kwa nchi ya kenya:
Raila Odinga : Ruto akiachia, ndo nini? Ruto huenda akaondoka kisha Gachagua achukue jukumu la kutekeleza sera mbovu. Ruto pia anaweza kusema ' nimechoka, wacha majenerali wa kijeshi wachukue madaraka. Kisha nchi huanza kupitia kile Misri ilipitia baada ya Tahrir Square. Msemo au msimamo wa ‘'Ruto lazima aondoke'’ haiwezi kuwa mwisho wa matatizo ya wakenya. Ni wakati wa shida kama huu ambapo nchi inahitaji kuzungumza. Hatufanyi hivyo ili kumwokoa Ruto. Tunafanya hivyo kuokoa Kenya.
View attachment 3045420
tu kwasababu wanajitambua huku kwetu kuna misukule inataka hata mitandao ifungwe. yaan wazungu wanasumbuka kurahisha dunia mjinga mmoja hapo lumumba anataka tweeter ifungiwe. shame on you uvccmHawa vijana wanabalaa aise
Tanzania na Kenya Hali zinatofautiana,sio kwamba vijana watanzania ni wajinga.tu kwasababu wanajitambua huku kwetu kuna misukule inataka hata mitandao ifungwe. yaan wazungu wanasumbuka kurahisha dunia mjinga mmoja hapo lumumba anataka tweeter ifungiwe. shame on you uvccm
Acha urongo wewe!ulitaka mageuzi yaje kwa mkeo.tulia ujue mageuzi hata USA wamepigana vita ambavyo ujawai kusimuliwa ndio umeliona ilo taifa kuwa dream country
Dogo una gia za kendezi. Yani hii swagger ya ruto must go ndo umeona unaweza kumuopoa Lucas's sweetheart?
ephen_