Safari hii viongozi wa Simba wametu win mashabiki.

Kwangu mimi kocha anawachezaji wake 11 lkn haoni mbadala wa hawa 11,mfano balua ni mbadala wa Mutale,kibu mbadala ni Chasambi+Kalabaka,Ahoua badala ni Awesu,Fernandez ni Ngoma/Okajepha,Ahoua,Mutale game iliwakataa kipindi cha pili ukiangalia Kapombe alikua anazungukwa na watu 3-4 yupo alone inamlazimu Fondo ajemsaidia which is wrong kwakua unasababisha katikati panakua wazi.
Kwangu mimi kuna wachezaji kocha ndio mwenye makosa kutowatumia inasababisha walioanza wakiflop huwezi pata the same output ya watu waliopo nje.
Mtu alieiweza Simba ni Mgunda pekee hawa mapro watakimbia very soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…