Safari imeanza Leo na UTT AMIS

Safari imeanza Leo na UTT AMIS

kipoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
370
Reaction score
296
Habari wadau wa uwekezaji katika UTT AMIS,

Nimefanikiwa leo kujiunga na mifuko miwili yaani UMOJA FUND na LIQUID FUND kwa njia ya simu na nimeanza kuwekeza kwa kununua vipande.

Kipindi najiunga nimeambiwa usaliji haujakamilika mpka ofisi kwao ila naweza endelea kununua vipande kama kawaida.
 
Habari wadau wa uwekezaji katika UTT AMIS,

Nimefanikiwa leo kujiunga na mifuko miwili yaani UMOJA FUND na LIQUID FUND kwa njia ya simu na nimeanza kuwekeza kwa kununua vipande.

Kipindi najiunga nimeambiwa usaliji haujakamilika mpka ofisi kwao ila naweza endelea kununua vipande kama kawaida.
Naomba details zote mkuu namna ya kujiunga , namna ya kuweka pesa, namna ya kutoa na namna faida yake ilivo kwa mwezi
 
Back
Top Bottom