Safari imeanza Leo na UTT AMIS

Safari imeanza Leo na UTT AMIS

Habari wadau, niwape mrejesho baada ya safari yangu kuanza katika uwekezaji kupitia UTT AMIS, Sasa napata 3000 kila siku. Hakika hili ningelijua mapema ningefika mbali sana. Kwa sasa napambana nipate zaidi ya hiyo kwa siku.

Wengine njooni kwa kweli, nipo mfuko wa Ukwasi. Yaani kila siku naona ongezeke hilo kwa App yao.

Hujachelewa
Hongera ni mil 9 au 10 hiyo
 
Habari wadau, niwape mrejesho baada ya safari yangu kuanza katika uwekezaji kupitia UTT AMIS, Sasa napata 3000 kila siku. Hakika hili ningelijua mapema ningefika mbali sana. Kwa sasa napambana nipate zaidi ya hiyo kwa siku.

Wengine njooni kwa kweli, nipo mfuko wa Ukwasi. Yaani kila siku naona ongezeke hilo kwa App yao.

Hujachelewa
Hapo utakua umeweka sio chini.ya 10m
 
Ndiyo, nahitaji kuongeza zaidi, natamani mpaka kila mwezi niwe nakuja Mil hivi
Inawezekana mkuu, me pia nimeanza mwez wa sita ila nimefungua account zote,kasoro ya watoto, lakini plan ni kuwa nkipata mtoto tuu naye nimfungulie
 
Habari wadau, niwape mrejesho baada ya safari yangu kuanza katika uwekezaji kupitia UTT AMIS, Sasa napata 3000 kila siku. Hakika hili ningelijua mapema ningefika mbali sana. Kwa sasa napambana nipate zaidi ya hiyo kwa siku.

Wengine njooni kwa kweli, nipo mfuko wa Ukwasi. Yaani kila siku naona ongezeke hilo kwa App yao.

Hujachelewa
Hongera sana na uendelee kupambana. Mimi naingizq faida si chini ya 1,500,000 kwa mwezi. Nataka faida ikifika 10,000,000 kwa mwezi nianze maisha ya kustaafu. Hii ni long term game
 
Back
Top Bottom