Hongera ni mil 9 au 10 hiyoHabari wadau, niwape mrejesho baada ya safari yangu kuanza katika uwekezaji kupitia UTT AMIS, Sasa napata 3000 kila siku. Hakika hili ningelijua mapema ningefika mbali sana. Kwa sasa napambana nipate zaidi ya hiyo kwa siku.
Wengine njooni kwa kweli, nipo mfuko wa Ukwasi. Yaani kila siku naona ongezeke hilo kwa App yao.
Hujachelewa
Hapo utakua umeweka sio chini.ya 10mHabari wadau, niwape mrejesho baada ya safari yangu kuanza katika uwekezaji kupitia UTT AMIS, Sasa napata 3000 kila siku. Hakika hili ningelijua mapema ningefika mbali sana. Kwa sasa napambana nipate zaidi ya hiyo kwa siku.
Wengine njooni kwa kweli, nipo mfuko wa Ukwasi. Yaani kila siku naona ongezeke hilo kwa App yao.
Hujachelewa
Sogea sogea angalau uwe above 50,000+, ila umepambana sana HongeraVipande 24000 plus
Hongera sana kwa uthubutu.Ndiyo, nahitaji kuongeza zaidi, natamani mpaka kila mwezi niwe nakuja Mil hivi
Inawezekana mkuu, me pia nimeanza mwez wa sita ila nimefungua account zote,kasoro ya watoto, lakini plan ni kuwa nkipata mtoto tuu naye nimfungulieNdiyo, nahitaji kuongeza zaidi, natamani mpaka kila mwezi niwe nakuja Mil hivi
ukiweka 1m kwa mwezi ni sh ngap mkuu unakuwa unapata?Hapo utakua umeweka sio chini.ya 10m
Tsh 10,000ukiweka 1m kwa mwezi ni sh ngap mkuu unakuwa unapata?
aaah ok asante mkuuTsh 10,000
Mil 💯Ndiyo, nahitaji kuongeza zaidi, natamani mpaka kila mwezi niwe nakuja Mil hivi
Hongera sana na uendelee kupambana. Mimi naingizq faida si chini ya 1,500,000 kwa mwezi. Nataka faida ikifika 10,000,000 kwa mwezi nianze maisha ya kustaafu. Hii ni long term gameHabari wadau, niwape mrejesho baada ya safari yangu kuanza katika uwekezaji kupitia UTT AMIS, Sasa napata 3000 kila siku. Hakika hili ningelijua mapema ningefika mbali sana. Kwa sasa napambana nipate zaidi ya hiyo kwa siku.
Wengine njooni kwa kweli, nipo mfuko wa Ukwasi. Yaani kila siku naona ongezeke hilo kwa App yao.
Hujachelewa
Hii ni kwa siku sio?Tsh 10,000
Ni kwa mwezi sio kwa sikuHii ni kwa siku sio?
Maana 10% ya milioni moja ni 100K .
Nilikuaga nasita kuhusu hii UTT,Ila video kwenye huu uzi imenifungua pakubwa sana.Ni kwa mwezi sio kwa siku
Umeshafungua acc na kuanza kudunduliza?Nilikuaga nasita kuhusu hii UTT,Ila video kwenye huu uzi imenifungua pakubwa sana.