Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Napenda hiyo spirit 👏
Hongera sana mkuu ...
Hongera sana mkuu ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bro kwani unajua dereva wa halmashauri analipwa bei gani??🥶Mkoani kwetu madereva wa halmshauri, tarura nawakuta baa Kila siku utasema hawa wanashida.
Take home yao labda tuseme ni 🤣600k kwa 700k Ata save 200k Kila mwez
Watu wengi wanaotamba mjini ni wazee wa one two one two,gusa achia piga pale asikudanganye mtu. Mishahara haitoshi na sio kila sehemu kuna hivyo viposho posho.
Akipiga 3m kwa mwaka ni 36m bado sio 40makisimamia dili zake anapiga fresh yaani mwaka mzima average kila mwezi apige dili la million 3.
Watu wanakula kwa urefu wa kamba mzee, huwezi jua jama yupo KITENGO gani ila kwa maelezo yake hawezi kuwa halmashauri😄😄😄
Huyo yuko private🥶Moyo wangu unachanika vipande hiyo incentive yake kwangu ndo nahangaika nayo Kila siku jobless mimi
Ni shida hiyo wizara ni kubwa sana hata management yake inakuwa ngumu.Ila umenikumbusha siku moja nilienda Cota moja hivi nilzokulia huwezi amini nyumba zimejengwa 1980 mpka Leo zipo hvo hivo watumishi wanaishi utadhani zizini mkuu nimekulia kwenye hizo nyumba nimeondoka 2009 mwanzoni lakini nimerudi nyumba hzo ziko hivo hivo 🙌
Madereva wana hela,🥶Mkoani kwetu madereva wa halmshauri, tarura nawakuta baa Kila siku utasema hawa wanashida.
Take home yao labda tuseme ni 🤣600k kwa 700k Ata save 200k Kila mwez
Asilimia ngapi mkuu?Nunua bond za Samia infrastructure Bond za Tarura via CRDB
Itategemea na kitu unachokiamini; ingawa ukizama sana ndani, utagundua ata unachokiamini hakipo, bali ni miradi ya watu tu.Kwenye Mungu basi walau siku nusu saa Kila siku
Nipe infomation zaidiNunua bond za Samia infrastructure Bond za Tarura via CRDB
Duh nimesema average manaake inaweza kupanda au kushuka. Ila kwakufikia malengo yake hapo ndo target yake🤗Akipiga 3m kwa mwaka ni 36m bado sio 40m
Na kuna wakati atakuwa chini ya lengoDuh nimesema average manaake inaweza kupanda au kushuka. Ila kwakufikia malengo yake hapo ndo target yake🤗
Kwahyo mkuu una uhakika kabisa unaweza kufanya mambo ya msingi bila kujibanaKuna level ya maisha ukifika au ukitaka kufika inabidi uongeze vyanzo vya mapato badala ya kuhangaika kujibana.
Swali pili kampuni nyingi zinawanyima mshahara wafanyakazi, Zinapunguza wafanyakazi, zinatafuta cheap labour wa kupewa taski nyingi kwa mshahara mdogo👈hizi zote ni nini kama sio mbinu za kujibana boss wangu??Kuna level ya maisha ukifika au ukitaka kufika inabidi uongeze vyanzo vya mapato badala ya kuhangaika kujibana.
Sizungmzii kwenda church mkuu ukiwa mwnyw aidha ofisini au home huwa naona wa ndugu zangu makobazi wanajenga vyumba maalum vya kufanyia ibada je hapo waNampa sadaka nani?Itategemea na kitu unachokiamini; ingawa ukizama sana ndani, utagundua ata unachokiamini hakipo, bali ni miradi ya watu tu.
Ila halmshauri inashindwaje kutenga fungu walau Ata B moja basi wakarabati hzo nyumba tangu enzi za ujamaa 🤔Ni shida hiyo wizara ni kubwa sana hata management yake inakuwa ngumu.
Ha ha ha nimecheka tu.Swali pili kampuni nyingi zinawanyima mshahara wafanyakazi, Zinapunguza wafanyakazi, zinatafuta cheap labour wa kupewa taski nyingi kwa mshahara mdogo👈hizi zote ni nini kama sio mbinu za kujibana boss wangu??
Wanafikisha kweli 400k?bro kwani unajua dereva wa halmashauri analipwa bei gani??
Tofautisha dereva wa taasisi na dereva wa halmashauri😄
Atleast madereva wanaoendesha wakuu kama DED au DMO angalau wana viposhoposho.