Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #21
Nashangaa kuona post ya paskalli wakati alidai Jana amestaafu undishi
nilipata habar hii kutoka kwa mke wangu jana yani niliishiwa nguvu gafla nikajikuta namwambia Mungu ebu futa jina langu kwenye kitabu cha mautiMsafara wa mwili wa Marin Hasan Marin ndio unaingia makaburi ya Mwanakwereke tayari kwa maziko.
P
April fools kumbe tuko wengi
Someni uzi wa PM wa Jana hajasema anaacha Jf soma mpaka mwisho uone
Saa hizi ndio maziko yanafanyika. Kwenye maziko hayo serikali inaongozwa na Waziri wa Habari, Dr. Harison Mwakyembe, Waziri Aboud wa Zanzibar na Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Dr. Ayoub Rioba.
P
dah..... jamaa katumika na chama chetu kama big G halafu hakupewa hata kanafasi ka u DAS tu, huku Gondwe ambaye hakusaidia chama kwa lolote akigewa u DC.Wanabodi,
Wale wenye nafasi, unganeni nami kupitia TBC Live kuangazia Safari ya Mwisho ya Mwanahabari Nguli wa Siasa nchini Tanzania, Mtangazaji wa TBC, Marin Hassan Marine, aliyefariki jana asubuhi kwenye hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam.
Marin Hassan Marine ndiye aliyeanzisha kipindi cha Jambo TZ, Safari ya Dodoma, Nyumba ya Jirani na ameacha alama kubwa kabisa ya kipindi kipya cha TBC Aridhio.
Kwa hapa Dar es Salaam, Mwili wa Marin uliswaliwa Msikiti Maamur hapo jana, na kusafirishwa kwa ndege ya rais kupelekwa Zanzibar, Leo asubuhi mwili wa Marin umemaliza kuswaliwa katika msikiti wa Amaan na sasa ni safari ya kuelekea makaburi ya Mwanakwerekwe Uguja ambako ndiko kutafanyika maziko.
Andamana nami.
Paskali