Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.
Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.
Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.
Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.
Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.
Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.
Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.
Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?
Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.
Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.
Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.
Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.
Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.
Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.
Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.
Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.
Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?
Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.
Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.
Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege