Interest ya Marekani Ukraine sio kumshinda Putin kwenye vita tu Bali wanataka kudidimiza uchumi wake ili usiwe tishio kama ilivyofanyiwa Iran kumlinda Uturuki na Israel.Ukimnyong'osha Russia unanyong'onyesha pia mataifa yenye itikadi za Kiputin kama Beralus,Venezuela,Iran nk..